Search results

  1. Elishaosati

    Dr. Steven Ulimboka anarudi leo saa sita mchana

    Unafikiri kila mtu ni wa udaku tu! chanzo changu ni yeye mwenyewe!
  2. Elishaosati

    Dr. Steven Ulimboka anarudi leo saa sita mchana

    Ulimboka anarudi leo Jumapili saa sita mchana, Ndugu hatuwezi tukaishi kwa uoga siku zote,hata kwenye page ya MAT hao maadui wapo, hakuna namna utakao wapa madaktari taarifa wasijue, hata simu zetu wanarekodi. mimi sioni haja ya kuogopa tena baada ya haya yote yaliyotokea. Twende tukampokee...
  3. Elishaosati

    Dr. Steven Ulimboka anarudi leo saa sita mchana

    Habari wadau, kwa taarifa za uhakika Dr.Steven Ulimboka anarudi nchini kesho, Madaktari wote na wadau wote mnaombwa kufika uwanja wa ndege saa sita na nusu mchana kwa ajili ya kumpokea jemedari, mtaarifu daktari mwingine!
  4. Elishaosati

    Taarifa kwa madaktari wote nchini

    Taarifa kwa Madaktari wote nchini, Kamati ya Jumuiya ya madaktari Tanzania inapenda kuwaalika madaktari wote nchini kuhudhuria mkutano mkubwa wa madaktari utakao fanyika siku ya Jumanne tarehe 03/07/2012 kuanzia saa mbili asubuhi katika ukumbi utakaotangazwa baadaye. Imetolewa na Kamati ya...
  5. Elishaosati

    DR Ulimboka Jiandae kuchukua jimbo

    Ndugu zangu niwaambie, Dr. Steven Ulimboka mimefanyanaye kazi kwa karibu sana, he is composed, anaakili nyingi, anajua wakati gani wa kutamka kipi! ni mtu shujaa asiye na uwoga, anaamini katika anachokitetea, anajua aitetee kwa namna gani, ni mtu mwenye sauti ya ukombozi, anauwezo wa kushawishi...
  6. Elishaosati

    Nia ya Dhati ya Wanaharakati Kumshtaki Livingstone Lusinde kwa Child Abuse

    kwa yale matusi aliyo yaporomosha Lusinde, kwetu madaktari tunasema ni abnormal behaviour which is associated with overtalkativenee and abusuve language, then tunampa ugonjwa unoitwa Mania(ugojwa wa akili), kwahiyo yule mwenzetu tunaweza kudhani nisiasa kumbe ni mgonjwa, nashauri ndugu zake...
  7. Elishaosati

    Nia ya Dhati ya Wanaharakati Kumshtaki Livingstone Lusinde kwa Child Abuse

    kwa yale matusi aliyo yaporomosha Lusinde, kwetu madaktari tunasema ni abnormal behaviour which is associated with overtalkativenee and abusuve language, then tunampa ugonjwa unoitwa Mania(ugojwa wa akili), kwahiyo yule mwenzetu tunaweza kudhani nisiasa kumbe ni mgonjwa, nashauri ndugu zake...
Back
Top Bottom