Rais Jakaya ataingia kwenye vitabu vya historia kama rais wa hovyo na dhaifu ambaye Tanzania imewahi uwa naye. Inakuwaje rais wa nchi anafanya ziara tena nje ya nchi na umma wa watanzania haufahamishwi? Nimeshangaa kusikia kuwa rais Kikwete yuko ziarani nchini Kuwait. Nimeshangaa kusikia kuwa...
H.E 'Presidente' Salma Jakaya Kikwete (P. Courtesy)
When H.E Presidente Salma Jake Kiquette's received like her husband in AR, I penned a piece, "When first lady's treated like her man!" She's at it again! Where did it happen? Wait. Truly, this time she dwarfed all her turgidity.
First, I...
Kuna haja ya kutunza picha hizi ili siku wahusika watakaposhitakiwa kwa kutumia madaraka vibaya ziwe ni ushahidi tosha. Je nini mawazo yako kuhusiana na kadhia hii?
Mbunge wa Tabora Mjini Aden Rage (CCM) akinyang'anyana mlingoni na mfuasi wa CHADEMA wakati wa kugombea mlingoti huo hivi karibuni jijini Dodoma. Ni jambo la kipuuzi kwa mtu anayetiwa mheshimiwa mwakillishi wa wananchi kushiriki upuuzi kama huu. Baada ya tukio hilo kulitokea shutuma kuwa Rage na...
INGAWA kuna baadhi ya wenzetu waliuona msimamo wa kiongozi wa nchi, dhidi ya kuwepo kwa sarafu moja ya Afrika Mashariki kama jambo la maana, lawama zinapaswa kupelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete mwenyewe.
Wengi tulipinga hata huu ‘Muungano' wa kuburuzana na kugeuzana majuha, lakini...
Nkwazi Mhango
Looking at EddieWhitehair Lo- Wash doling money out for whoever that approaches him, oned see love of the rich to the poor. Again, is this love true or has something else? Since hes forced out of power thanks to Richman Scam, Eddies become a very generous politician Bongo has...
www.mpayukaji.blogspot.com
BAADA ya kunuka au kuumana hivi karibuni kwenye kaya yetu ya amani, mzee mzima nimeona nitoe busara na elimu bure ili kuepuka kujitia kitanzi kijinga na kipofu.
Laiti ndata wasingekuja Kijiweni na kutulipulia mibomu yao ya michozi wadhani ningenena?
Ningewaacha...
Kikwete, what a visionary leader
Nkwazi Mhango
I love and respect President Jakaya Kikwete beyond imagination. I am not a cohort or majordomo who loves him so that he can offer them some high positions which mean lucrative biz. I have my sound and convincing reasons:
First of all, he proved...
Maandamano makubwa yametawala nchini India baada ya serikali kuruhusu makampuni ya kigeni kama vile Walmalt kufanya biashara nchini mle. Wananchi wamechukizwa na hatua hii kiasi cha kuingia mitaani kuandamana. Wananchi wanadai kuwa kuruhusu makampuni ya kigeni kufanya biashara inayofanywa na...
When Nato started bombing Tripoli, unfortunately for him, former Libyan strong man Muamar Gaddafi did not foresee his fall from the grace. He started campaigning on TV for Libyans to come out and defend their beloved Tripoli. Zanga zanga or make sure you surround the rats in all corners and club...
This is the song of peace
It aims at all S.O.B's and D.O.B's
You guys in fatigues
With your totting guns
Trigger happy as you always are
You the killing machines,
You who violate peace
You who are used by morons
Guys,
When you kill, just kill peacefully
When you rape just do it peacefully
You...
Rais Jakaya Kikwete akipokea tuzo toka kwa Ajay Vashee makamu mwenyekiti wa NGO inayoshughulika na kilimo iitwayo Food, Agriculture and Natural Resources Policy (FANRPAN). Je hii ni tuzo kweli au nyenzo ya kuwa karibu naye ili kuwawezesha wahusika wapata deals za kutuibia.
Mikutano ya vyama kinzani nchini Marekani inaendelea huku tukiona wake wa wagombea wakiwajenga waume zao. Je kwetu hali ikoje? Wenzetu wanashirikiana kushinda wakati kwetu wanashiriki baada ya ushindi kuanzisha NGO. Je nini mawazo yako kuhusu hili?
Mleta mada ima ni matunda ya magamba au hafikirii vizuri ukiachia mbali kuwa kwenye hali ya kutatanisha kiakili. Soma sheria ujue ni ipi mikutano halali na haramu. Kwanini CCM wakifanya mikutano hata kwa kuvunja sheria ni halali lakini CDM wakiifanya tena kwa kufuata sheria inaonekana haramu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.