SHULE ILIOPO MBULU MANYARA INATAFUTA MBIA WA UENDESHAJI kwa Mawasiliano piga kwa Mkurugenzi wake +255 767 928167 / 0784 928167 / au fika shuleni hapo .nimeambatanisha picha ya sehemu ya shule
usiogope kuandamana mwema kazi yake si kutoa kibali bali hupewa taarifa ili akulinde sasa basi ukiona ndege matingtinga na malori yamejaa ffu ni kwa ajili yako ukiwa na roho ngumu utafika mwisho wa maandamano na ukimbia ujue ndege vifaru na umbwa na makachero vitakufuata
Habari wana JF Mini ni mjasiriamali nilianzisha shule na kufanikiwa kuyisajili BRELA na MoVET kwa sasa ina walimu 5 na watoto 100 kuanzia awali hadi la 5 shule ina eneo la acres 6 inje ya mpaka wa mji kawa mita 200 tu panapitika mwaka mzima . Kutokana na kua inje ya eneo la mji...
washitakiwe kwa kosa la kulewa masaa ya kazi .kwa kosa la uporaji .kosa la uzalishaji .kosa la kusababisha hatari ya maambukizi. Kosa la kutmia madaraka vibaya pia nashauri wapeleke shauri hilo kwa HUMAN RIGHT ADVOCATES
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.