Brother,katika watu ninao wakubali kwenye hii serikali, your one of them.ila imeniuma sana kwa lililotokeA Leo.
Hawa askari wako kweli wanakuja na fimbo bar na kuanza kuchapa watu??is this how tanzania is??nchi ya amani??
Yani watu tukakaa bar ila tunakuwa na wasiwasi??
Police now days ni...
Guys habari zenu.
Nilifungua biashara mwakan juzi,ikawa inapiga kazi fresh;sasa mwaka huu mambo yameenda tofauti.
Nimeamua niifunge biashara,TRA wananidai pesa ya kodi,nimewaambia wafunge then ntawalipa,wamegoma wanasema nilipe then ndo wafunge.
Now hela sina,na ikiendelea kukaa bila kufungwa...
Habari zenu wanajamvi, nimepata tenda ya uzoaji taka majumbani, natafuta gari ya kukodi msaada wanajamvi na kama kuna yeyote mwenye ujuzi kuhusu hili nitashukuru nikipata changamoto.
Nawakilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.