Huyu naye anayumba yumba tu! Raha ya propaganda siku hizi zinanoga na vithibitisho! Siku zote hizo anashindwa nini kuweka hadharani!? Au kesi iko mahakamani anaogopa kuvuruga ushahidi!!
Nilishawahi kusikia mahala fulani watu wakipiga story kuwa kupitia hizi smartphones zetu watu wanaweza kupata taarifa zako zote wanazohitaji kupitia sehemu mbalimbali ulizoweka fingertips! Mfano TRA katika issue nzima za lesseni, bank,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi huyo member uliyemtaja hata simjui.... Labda nachangiaga thread zake pasipo kumfahamu maana sio rahisi kusoma kila jina la mtoa Mada
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufuatia uwasilishaji wa ripoti za kamati za bunge kuhusu TANZANITE na ALMASI na namna Rais alivyomsea Proff. Muruma, nimejifunza mambo mengi sana :-
i. Kuna watu humu mitandaoni wanapotosha sana kwa kujifanya wana taarifa sahihi za baadhi ya mambo wanayotumezesha
ii. Vijana wengi wanadakia...
Wakati wa tozo kwenye makampuni ya simu na mabenki, Kaka yangu Zito alikuja hivi hivi kutahadharisha. Watu wa kila aina wakaja hadharani kumpinga na kumuita kila jina baya! Kibaya zaidi, TRA, BOT na WIZARA husika vikajumuika kutuaminisha uongo, sasa wanatulazimisha na hili tumuone Zito...
Kiprotocali, ulionawapi mgeni rasmi akishaongea kuna mwingine anaruhusiwa tena!? Pale ndo ilikuwa mwisho, Lema alisharukwa na hakuna namna angeweza kuongea baada ya mgeni rasmi.
Kwa hali ya kawaida ni rahisi sana kusema hivyo hasa pale unapokuwa hutegemei kinyume na makubaliano. Kwa mtu makini atagundua kwamba wote wawili walijipanga kuumbuana! Mmoja akitaka kutumia kofia ya muongeaji rasmi kumkandamiza mwenzie na mwingine hakuwa tayari kudhihakiwa huku akijiona wakati...
Sidhani kama hii story ina ukweli wowote. Kama inaukweli huyo si mwalimu halisi inabidi achunguzwe kwani haiingii akilini kutii agizo kama hilo hata kama wanafunzi wasingekuwepo
Alafu ukute yeye tayari ana enjoy na mwanaume mwingine.... So badly!! Any way, hayo yapo sana ila muhimu jitahidi tu kumsahau kwa wema tu, kama bado unawasiliana nae punguza au acha kabisa. Na endapo utapata mschana mwingine ikakutokea ya mzee kushindwa kusimama tena na kweli unampenda na unaona...
Vijana wanapo maliza elimu ya sekondari wenye bahati hujiunga na elimu ya kati na ya juu.
Ikumbukwe kuwa sekondari nyingi wanafunzi huishi chini ya sheria kwa uangalizi wa walimu, wazazi na matrons au patrons.
Vyuoni hakuna cha uangalizi huo. Wanapofika huko ni full kujiachia. Aliyekuwa wa...
Wakuu salaam,
Naomba kufahamu kitaalamu ni kweli limao lina uwezo wa kupunguza mafuta yanayoweza kupelekea unene usiotarajiwa mwilini!?
Naombeni kufahamu kama kweli limao lina uwezo wa kupunguza mafuta mwilini sababu nimekuwa nikiwaona watu wengi wakikamua juisi yake na kunywa huku wakiamini...
nashukuru kwa mchango wako jemedary, lakini naona kama hujanielewa vizuri.....sijasema nataka kusoma postgraduate bali nimeomba msaada kwa watu waliosoma kozi hiyo ikiwa ni pamoja na wenye level hiyo ya postgraduate kwani naamini kwa walioamua kusoma postgraduate hiyo huenda waliona fursa kubwa...
heshima kwenu wakuu!
Naombeni msaada wa mawazo ndugu zangu. Miongoni mwa malengo yangu mwaka huu ni pamoja na kujiendeleza ki elimu. Natamani sana kujiendeleza kwa kusoma Rural Development lakini kwa bahati mbaya nimekosa taarifa sahihi kutoka vyanzo vya kuaminika kuhusu urahisi wa...
mapenzi hupunguza uwezo wa kutafakari....tukumbuke hata Jakaya alikuwa na nyota kama hii hii ya kupendwa hadi watu wakamfananisha na Nyerere, sasa yako wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.