Wakuu
Nina uhitaji wa kuku wa kienyeji wa kufuga / vifaranga wenye umri WA mwezi mmoja na zaidi Kwa sehemu Za Morogoro. Kama kuna mtu anaweza kuwa nao Naomba tuwasiliane. Wanahitajika Kwa wingi.
I have got Brand NEW BOXED iphone 5 for sale and used iphone 4 (in mint condition). If you are interested send me private message. All the phones are UNLOCKED.
Iphone 5 Tsh. 1,100,000
Iphone 4 Tsh. 800,000
Napenda kutoa ushauri kwa mtu yeyote anayetaka kufanya kazi nje ya Tanzania (Middle East, Europe, USA, Australia na Asia) ni kwamba kazi zipo hila watanzania wengi hatuna utamaduni wa kutafuta kazi nje ya nchi yetu.
Napenda kutoa ushauri kwamba kama unaweza kuongea Kiingereza safi, Una degree...
Wakuu BBC FOUR (UK) wapo hewani wana programme ya saa nzima wakieleza mauaji ya Albino Tanzania. Programme inaonyesha maeneo ya Kanda ya Ziwa (Shinyanga, Tabora na Mwanza).
Naona kama wameguzwa na kinachoendelea Tanzania kuhusu Madaktari sasa wanaanza kuonyesha ulimwengu jinsi Tanzania ilivyo.
Kama kuna watu ambao mimi binafsi sijuhi utendaji wao wa kazi katika nchi yetu ni Mkuu wa Kitengo cha Kupambana na Rushwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi. Tangu watu hawa washike nyazifa zao, sioni ambalo wamechangia katika hali yetu Tanzania. Hivi Dr Hoseah na IGP Mwema wakistahafu leo tutawakumbuka...
Wadau
Katika kipindi cha week moja tumekuwa katika msukosuko wa kuwasema au kuwataja mawaziri ambao wanashtumiwa kutumia madaraka yao vibaya kwa kukwapua mali za nchi yetu. Haya yamekuwa yakitokea kwa viongozi kadhaa ndani ya serikali na chama tawala (CCM).
Vikao vya ndani ya CCM tunasikia...
Wadau
Nimekuwa nikijiuliza baada ya kusoma na kusikia haya yote yanayoendelea Tanzania kuanzia kwa wabunge kucharuka na kuwataja mawaziri wezi, Mh Zitto kutoa hoja ya kupigwa kura za kutokuwa na imani na waziri mkuu na sasa tetesi za mawaziri nane kujiuzulu,
- je Mheshimiwa Rais aliiona hii...
Wadau
Natafuta sehemu ya Duka / Warehouse Dar katika maeneo ya Magomeni, Kinondoni mpaka Mwenye, Sinza mpaka Ubungo. Ukubwa wa sehemu huwe katika mita za mraba 70 na sehemu iwe inaweza kufikiwa na Lorry kubwa kama limebeba 40ft container. Ninapendelea sehemu iwe barabarani au karibu na barabara...
Tuna photocopy machines za aina ya Canon (Image runner) na Xerox zenye uwezo tofauti kulingana na uwezo wako au mahitaji yako.
Bei zake
Canon IR2200 (Speed 22 cpm) bei TZS 1,900,000
Canon IR2800 (Speed 28 cpm) bei TZS 2,000,000
Canon IR3570 (Speed 35 cpm) bei TZS 2,500,000
Canon IR6020i (Speed...
Wakuu naomba ushauri wenu.
Nimekuwa nitembelea maduka mbali mbali katika nchi za Ulaya hasa UK na kukuta bidhaa kazaa za kutoka Uganda na Kenya lakini sijawahi kuona bidhaa zozote kutoka Tanzania katika maduka ya UK. Nikiwa Tanzania naona kuna matunda mengi kama Machungwa, Mahembe, Nanasi...
Wadau naomba msaada wenu. Nimekuwa nikijaribu kutafuta mafuta ya kupikia ambayo wazungu wanaita "Virgin Olive Oil" nashindwa kujua kama hapa kwetu Tanzania yapo na kama yapo ndo yanaitwaje kwa kiswahili na yanapatikana wapi. Mafuta haya wanasema ni mazuri kwa afya na hayana colestral. Naomba...
Kwa wale wapenzi wa Chelsea habari za uhakika ni kwamba leo hii AVB amehachishwa kazi mara moja na Msaidizi wake Di Mateo atakuwa kocha wa timu mpaka mwisho wa msimu.
Mlisema tumfukuze Mzee Wenger sasa yamewakuta
Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na kushuka kwa kiwango cha elimu katika nchi yetu hasa katika matokeo ya hivi karibuni ya kidato cha Nne na Sita. Ni kweli kuna matatizo mengine ambayo yanasababisha swala hili kutokea lakini jambo ambalo halipingiki ni Walimu kuwa na mgomo baridi na...
Ndugu wana JF, kama kuna kitu ambacho kweli ninachngia sana kurudisha maendeleo ya Tanzania nyuma ni usumbufu na utirtimba uliopo hapo TRA (Customs). Ukitaka kujua kwamba Tanzania tutachukua miaka mingi kuendelea jaribu kuingiza bidhaa kutoka nje kupitia bandari ya Dar es Salaam. Kwa kweli hawa...
Wana JF na watu wote wenye mapenzi mema na Tanzania, naomba mnijulishe ni nini tunaweza kufanya kama week ijayo Rais akimteua mshikaji wake E Lowasa kuwa Waziri Mkuu. Au je katiba ya nchi hairuhusu Waziri Mkuu aliyejiuzuru kwa manufaa ya umma kurudi tena kuwa waziri mkuu?
Kama katiba inaruhusu...
Ndugu zangu wana JF, kwa maoni yangu nadhani wanachama wa CHADEMA wanaweza kutemba vipya juu kwamba wanakubalika Tanzania. Nasema hivyo si kwamba tumeshinda uchaguzi hila tumepata kura nyingi kwa mtaji kigodo. Kama ni biashara Chadema wamepata faida kubwa sana kulinganisha na CCM.
Nikiongelea...
Wadau naomba maoni yenu. Mimi naona Mizengo Pinda hatarudi tena kuwa waziri mkuu bali kundi la mafisadi wataingia sawa sawa kuchukua nchi na kufanya wakalo knowing ni kipindi cha mwisho cha Mkubwa wao
Jamani mnasikia habari za mama (AFISA MTENDAJI KATA YA TABATA) alivyokamatwa na karatasi (form za kujaza matokeo). Hii habari hiko live ITV hebu mwenye data arushe zaidi. Mama yuko Polisi na Mpendazoe huko polisi kufatilia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.