Search results

  1. Mzigdash

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Kuna Mama alijitolea kulea watoto wasio na msaada( yatima) hapa mjini tangu miaka ya 1990’s mpaka leo, imagine what ni mtoto mmoja ndio huwa anarudi kutoa shukrani na kusaidia wengine, ni wengi wamepita pale na wapo walio toboa kimaisha na hawajawahi kurudi. Moyo wa mtu kichaka, ukitoa toa bila...
  2. Mzigdash

    Dar: Studio za Mjini FM zawaka moto huko Masaki

    Poleni sana wadau wa Mjini FM
  3. Mzigdash

    Kichwa cha Treni SGR chaanza majaribio Kilomita 160 kwa Saa

    Mie naamini serikali imejipanga juu ya traini ya umeme watakuwa na wataalamu wa kutosha kuanzia uendesha, umeme, miundo mbinu na kila kitu.
  4. Mzigdash

    Utaratibu wa kufuatilia na kupata passport ni upi?

    Kuhusu suala la kuomba passport kwa urahisi sana na hii njia itakusaidia kuepuka vikwazo mnavyokumbana navyo. Kwanza, kabisa unajijua unataka passport, silaha namba moja ya kuweza kupata hiyo kitu ni lazima uwe na ID ya taifa, kama hauna id ya taifa basi itafute hiyo kwanza maana bila hiyo...
  5. Mzigdash

    Anakuwa mpole sana mwanzoni, baadae anabadilika na kuwa mkali kama chui

    Ukiona hivyo ujue Out of sex kwenye mahusiano ujue hakuna kitu una changia.
  6. Mzigdash

    Shahada ya PhD ilianza kuharibiwa na wakuu wa nchi

    Jifunze kwanza kutofautisha kati ya PhD na udaktari wa Heshima
  7. Mzigdash

    Operesheni Wembley ya Kampala Uganda Watanzani tuna chakujifunza.

    Kamata kamata dhidi ya Panya road huenda ikafanana na operesheni Wembley ya Uganda angalizo ni kuwa izingatie haki za binadamu maana HRW, Amnesty International's, na mashirika ya haki za binadam yako macho.
  8. Mzigdash

    Operesheni Wembley ya Kampala Uganda Watanzani tuna chakujifunza.

    Operesheni Wembley ni jina ambalo ilipewa operesheni ya usalama nchini Uganda mwanzoni mwa miaka 2001 ilikupambana na makundi mbalimbali ya uharifu kwa kuwakamata, kuwaweka kizuizini, kuwatesa na kuwaua majambazi wenye silaha. Raisi wa Uganda Y. Miseveni alianzisha operesheni hiyo Maalumu baada...
  9. Mzigdash

    Geita: Mke ajinyonga Kisa kushutumiwa kuiba elfu kumi ya mumewe

    Tatizo la afya ya Akili ni kubwa kuliko tunavyo lichukulia hapa nchini kwetu.
  10. Mzigdash

    Tulia Ackson alipokuwa anazunguka na majeneza ili kuizika CHADEMA Mbeya, hawa viongozi wa dini ya Kikristo walikuwa wapi?

    Msanii Tundaman kwa jina halisi Khalid Ramadhani Tunda huyu dini yake ni muislam kwani ameshindwa kutumia dini yake ya kislam kuwakilisha maudhui yale kwa kuchukua jeneza la mskitini kama alikuwa anahisi yuko sahihi mpaka abebe mavazi ya kikuhani na misalaba. Viongozi wa uwanja na simba...
  11. Mzigdash

    Rais Samia mteue Dkt. Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

    1. Amekuwa waziri wa Mawasiliano na Teknologia. Tukashudua mabando yakapanda gafla isivyo kawaida mpaka raisi wa Nchi akaingilia kati. 2.Kahamishiwa wizara ya uwekezaji na Biashara. Ambopo FCC ipo chini yake ila Tunaendelea kushuhudia bei ya bidhaa zinapanda isivyo kawaida. Amewahi kutoa...
  12. Mzigdash

    Ole Mushi: Watanzania tumejipangaje kuipokea Congo kwenye EAC?

    sisi vyombo vya habari na magazeti,redio, social media wako busy wanajadili sijui membe, Kinana ,simba wa yuda na pumba zingine. Hizi mada za msingi kuzingumzia sasa.
  13. Mzigdash

    Naomba kujuzwa juu ya ugonjwa huu

    Kuna ugonjwa unaitwa Vitiligo.
  14. Mzigdash

    Niulize kuhusu biashara ya hardware, nitajibu kwa uwezo wangu

    1. price ya bei maana bidhaa za hardware hazina bei elekezi kutoka kwa bord kama yalivyo mafuta(EURA), ? 2. Unaweza vipi kutambua bidhaa feki wakati wakununua mzigo? maana kwa uzoefu wako yawezekana hauja kutana na hilo sana. 3. Mauzo kwa mwezi unaweza pata faida kiasi gani ukitoa pango na...
  15. Mzigdash

    Kwanini wananchi wengi wanadai Masoko yanayoungua hayaungui kwa bahati mbaya bali yanachomwa?

    Hizi kamati/tume za uchunguzi ni miradi ya upigaji tu.
  16. Mzigdash

    Lukuvi, Chenge, Kabudi kubalini mmezeeka acheni kujipigia kampeni za uspika, vijana kama Steven Masele kachukueni fomu wakikata jina freshi tu

    Vijana wapi unao waongelea au hawa wa social media kutwa kucha kupiga spana watu.
  17. Mzigdash

    #COVID19 Kumbe Zanzibar imepata Tsh 200 bilioni tu katika ule mkopo wa COVID tofauti na inavyoelezwa na Wanasiasa uchwara!

    kumekucha huku.. now kuna kundi la Watanganyika wasio utaka muungano kwa madai Zanzibar inapendelewa.
  18. Mzigdash

    Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

    Kwa akili ya kawaida hawezi fanya hivyo hata JPM aliowakuta kina Lukuvi,Simbachawene,
  19. Mzigdash

    Matumizi gani ya kuingiza kipato, kwa usafiri wa piki piki, nje ya boda?

    Unaweza tumia pikipiki kufanya usambazaji wa nyama kutoka kwenye machinjioni kupeleka buchani (nyama za ng’ombe,kitimoto n.k)
Back
Top Bottom