Usitumie nguvu nyingi kumuelimisha aaiyetaka elimu hiyo. Ni hivi Yanga sc anavuka hatua hii mtake msitake. Tunza hii comment mwanakwetu achana na hao Simbilisi waliojaa choyo na wivu kwa Wananchi tz
Huku Young Africa sc tumamuita Doctor of football. tulilikosa CAF confederation cup last season kwa kukosekana kwake pale kati. Na sasa ana injury, namuomba mwenyezi Mungu apone ili Wasandawana wapatiwe haki yao. Get well soon Dr. Khalid Aucho.
Anampigia Jaribu tena. Kolo walitaka kumsajili Jaribu Tena akamdengulia, Eng. akasema kijana ustaabike, njoo huku kwetu na hautojuta. Basi mambo ndiyo hivyo jaribu tena anammezea mate but it is too late
Fiston Kalala Mayele acheza mpira, hii mambo ya kusingizia sijui majini ohoo mara kutukanwa hayatamsaidia katika carrier yake na atashindwa kufikia malengo yake. Muda ni mwalimu wacha ninyamaze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.