THE NRM 2011 presidential candidate, Yoweri Museveni, has promised free education for Alevel students starting next year.
Museveni made the promise at different rallies in Lango sub-region. The Government is already providing free education at Olevel.
We have given you free primary...
Nilitegemea hilo kwani lengo la Chenge kugombea ulikuwa ni mpango wa kumchomoa Sitta ili asijekulalamika,mpango huo ulikuwepo sana na sishangai sana,:smile-big:
Nawaaminia wana wa Rock city,ni dalili nzuri kwa maandalizi ya 2015.Mkwere ana kazi kwelikweli na mafisadi wenzie!kupingwa hadharani?????Big up Rais wangu DR.SLAA!Wamekubania mwaka huu,subiri 2015.Habari zaidi,bofya Ghasia Mwanza zapatiwa dawa
kwenda huko.Kuna uhusiano gani kati ya kurudiwa uchaguzi/uhesabiwaji wa kura na uchochezi?wewe ndo naona mchochezi,kama unasapot basi wewe si mtanzania na huna uchungu na nchi yetu inayoliwa na mafisadi,mahakamani???????????:nono:
safi kabisa,naomba unijulishe dar ofisi zao ziko wapi ili nikifika tu,kesho yake naenda kukamata kadi na kuwa mwanachana hai,nitaanza kampeni kijijini kwetu mwakani kwa ajili ya 2015.Watakoma sana Chama Cha Majambazi/mafisadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.