Yoote uliyoandika hapo ni uongo mtupu
1. mafundisho yameongelea amani sana kila sehemu na vita ikaruhusiwa kwa wale tu walioanza kuwachokoza waislamu tena hapo ni baada ya kushindwa kuepukana nao kwa njia nyingi tu basi last resort ni ku retaliate ,hakuna sehemu utakuta aya yoyote ile...
Nashangazwa sana ni kwamba watu huwa hamfuatilii taarifa za habari ? Mkopo wa degree kwa sasa hakuna riba yeyote ile yaani utalipia kile ulichokopeshwa na hii imeanza mwaka 2020 rais samia suluhu alipoingia madarakani alifuta 6% ya value retension fee na heslb wakaondoa 15% ya penalty na hata...
"If you can't explain it simply then you don't understand it well enough"
👆👆 huyo ni albert einstein by the way without further ado , mkuu hata siku moja hauwezi ukaanza kuielezea subtopic without atleast introduce the topic first .
Nimekuuliza swali dogo tu wazo ni nini na linaingia vipi...
"Wazo ni neural signal, linaingia kichwani kwa sensory organs, unajua kwamba wazo limeingia kichwani mwako kwa kulipata, unaweza kufanya brain scan kuangalia neural activity."
Hata moyo una neural signals , soma kuhusiana na sinoatrial nodes na jinsi zinavyo generate neural signals kama...
Hizo unaweza sema ni prophetic titles na wanaweza kuwa na title zaidi ya moja kila mtume alikuwa na title maalum kwa Allah (the all loving).
1. Ibrahimu(a.s) aliitwa -khalil ullah =rafiki wa Allah au nyengine ni jadul anbiyaa au abu al anbiyaa .
2. Musa (a.s) aliitwa -kalim Allah =yaani...
Epicurean paradox mbona ilishakuwa challenged na Alvin plantinga? Au haujasoma plantinga's free will deffence? Kasome pia uielewe halafu kama haujelewa kitu uliza pia.
Na kingine ningependa uthibitishe kutokuwepo kwa Mungu huyu aliyetajwa kwenye vitabu vingi vya kidini na kama unaegemea...
Unajua maana ya neno "uislamu" ? Halafu kama nakumbuka vizuri ukristo ulianzishwa na paulo yesu hakuna na ukristo alikuja kulitimikiza torati je? Unajua wenye torati yao (wayahudi/ jews )wanaamini nini?
Nikuweke sawa
1. Aliumba kwa uwezo wa Allah( the almighty) na si kwa uwezo wake .
2. Aliwalisha wafuasi wake chakula kutoka mbinguni ni baada ya wao kumuambia awaombee dua kwa mola mlezi wa viumbe ili awashushie chakula kutoka mbinguni si kwasababu hawaamini ni ili imani izidi zaidi hii...
Kitaalamu wanaita "sleep paralysis" hii hutokea mara chache na ina maelezo yake kitaalamu kama ifuatavyo.
Unapokuwa unataka kulala ,ukiwa sasa umejiweka kitandani bado usingizi haujakuchukua mwili huwa unazalisha paralysis hormone hii husaidia kuulinda mwili na mitikisiko isiyo na maana usiku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.