Wengi wamepongeza baadhi kuhoji na kubeza uamuzi wa Zitto kugombea. Na badae wamebeza uamuzi wa Zitto kujitoa sambamba na kushangazwa na ushauri wa kamati ya wazee waliomshauri Zitto ajitoe katika kinyanganyiro cha uenyekiti wa taifa dhidi ya mwenyekiti wa sasa Freeman Aikael Mbowe( Mtuhuru)...
Leo ikiwa ni siku ya mwisho wa mwaka sambamba na kumskuru muumba kwa majaliwa yake kwa mwaka ulio ukingoni ni vyema pia tukafanya mapitio ya mwaka mzima ili tuchukue akiba na kubeba yalio mazuri na kufanya jitihada za kuepuka makosa tunavyoelekea mwaka mpya unao karibia. Kwa muktadha huo...
Tumegeuka taifa la vipofu
Freeman Mbowe
KWA wengi, nimekuwa kimya. Kimya kina tafsiri nyingi. Kila mtu kwa uelewa wake na pengine matamanio yake. Leo nimeamua kuandika tena. Na nitaendelea kuandika "mpaka kieleweke." Nakiri ni muda mrefu sijaandika. Sababu ni nyingi. Naamini katika subira...
Wakati wa Kampeni Jakaya,ili kuteka vijana,ambao ndio wapiga kura wengi alitoa ahadi chongo juu ya ajira.Akaahidi ajira milioni moja!
Kwanza ahadi yenyewe haieleweki! Ukifuatilia kwa mujibu wa takimu,kila mwaka kwa wastani vijana kati ya 650,000 mpaka 750,000 wamaingia katika soko la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.