Hawa maprofesa aina hii ndio wanaofanya elimu idharaulike!! Ikiwa kinyesi cha wanyama kinasababisha samaki kufa kwa wingi basi wenye mabwawa ya samaki wasingevuna hata samaki mmoja maana ni kinyesi hichohicho cha mifugo hutumika kuwapatia chakula hao samaki!!!
Maprofesa uchwara wanailinda North...
Hawa maprofesa aina hii ndio wanaofanya elimu idharaulike!! Ikiwa kinyesi cha wanyama kinasababisha samaki kufa kwa wingi basi wenye mabwawa ya samaki wasingevuna hata samaki mmoja maana ni kinyesi hichohicho cha mifugo hutumika kuwapatia chakula hao samaki!!!
Maprofesa uchwara wanailinda North...
Na bado bila hata haya anasimama hadharani na kutangaza kuwa anadhulumiwa!!! Tulipata kuandika humu
Post in thread 'Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu' Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu
Wakongo wana msemo wao "balya ngwena baseka, balya muntu balela!" watu wakika mamba furaha, mamba akila mtu kilio! Ama wahenga pia walinena "mkuki kwa nguruwe..."
Watu wamemsigina sasa ili anuke mbichi na mbivu zijulikane!!
Sitoshangaa majizi menzake yakianza kumkana kama ambavyo Ole Sabaya anavyowakana wale pika pakua wake!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.