Habari Wakuu tupate kutafakari wote kupitia hii link hapo chini
Angalau basi hata sisi Huku Africa Binadamu wenzetu wangetufanyia wepesi maisha yalegee eti.
Habari za jiioni wana Jamvi,napata wakati mgumu sana kutumia hii wovuti ya Kujiunga ili kupata Salary slip.http://http://www.utumishi.go.tz/watumishiportal/signup/signup.php.
Nina zaidi ya week sasa nahangaika kila muda,mara niivizie usiku lakini mara zote napata ujumbe huo hapo.Au kuna...
MSAADA TUKIPATA TATIZO TUPIGE WAPI SIMU.NAOMBA KUJUZWA HUO UJUMBE NI SMS TOKA NACTE.AU NATATUA KWA NJIA ZIPI?(At any point in time if you encounter any problem, do not hesitate to contact NACTE by calling 0719222846, 0787050389 or using email admissions@nacte.go.tz)
Bodi ya mikomo angalieni vyema utaratibu wenu wa mpesa au mfumo wenu wa malipo.Kwa wanafunzi wanao tumia huduma hii kwa ajili ya kupata namba ya kujiunga katika system yenu(olams).
Leo ni siku ya pili kijana wa jirani yangu anasuburi sms irudi ili aendelee na huduma zenu za kuomba mkopo.Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.