Kunazo raia hata haizijui kama kuna kitu kinaitwa Bwawa la Mwalimu Nyerere.
Nimesema ukiwa na hela..Umeme,Maji hivi vitu sio shida.
Hakuna mtu anaonea mtu huruma huku Africa.
Kuna watu hawapendi kusikia neno HAPANA.
Ubaya unaanza kwenye neno HAPANA.
Na ndio maana sasa unasikia kauli ngoja tuone😀😀😀😀😀
Tujitahidi tu kwa namna yoyote usikose balance katika haya maisha.
Vitu kama Ada, hiyo sio ermegency ni vina muda wa kujiandaa.
Tenga fungu lako tokana na uwezo...
Ndio Dunia ilivyo haina huruma na mtu.
Dogo aliyenyang'anywa Kikapu akija kuwa mwanasiasa akiwa Mwizi tutapiga yowe.
Kumbe ameoneshewa dharau toka day one mbele ya wakuu wa Meza.
Mleta mada Hongera sana kwa kuonesha mambo yalivyo.
Kwa navyojua siku hizi watu wana kitu inaitwa Sheria Mkononi na najua ilitumika kwa asilimia flani hapo.
Kitu kibaya zaidi ni picha aliyojengewa huyo Mtoto wa Miaka mitano inatia huruma sana.
Wanaume tutafute hela Mama Vijacho wasiteseke...
Wale walikuwa na familia zao Bible haikutaka kudeal na Familia zao.
Usije danganyika.,wote umri ulichangamka.
Udangayifu,ubinafsi,choyo ,usaliti ni sehemu ya asili ya Binadamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.