naombeni msaada mwili wangu unaniwasha sana pale ninapopita kwenye jua kali na nikipata joto na pia wakati na fanya mazoezi mwili unakua unaniwasha.Nikiazwa kuwashwa nakua najisikiakama vitu vina nichoma kama sindano au miba ila vinakua mwili mzima nishaendaga hospitalini wakaniambia niache kula...
asante kaka nilidhani si mtanzania manaake jamaa ni noma basi pale mbele kwenye timu ya taifa itakuwa fresh akicheza na samatta na ngasa au mnasemaje wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.