mwislam mpuuzi ni yule anayeendeshwa na mihemuko ya kijinga kama wewe na kwa taarifa tu waislam wapuuzi kama wewe huwa hata hawajakomaa katika imani ila waislam safi na wanaoijua imani vizuri hawafanyi ujinga
mimi nitampigia na ni mwislam
nyie nao mnakera kila kitu iman mara uislam! mbona wakristo hawanaga hizo? jana lowasa leo membe yaani mkikaa kazi yenu ni kutafuta watu wamefanya nini kwa imani yenu? acheni ushamba! mwislam anayeijua imani vizuri huwez mkuta anakurupukia vitu vidogo kama hivyo ila nyie uchwara sasa ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.