Ndio kila mtu kasikia juu ya uozo wa matokeo haya ya vijana wetu. Kwa kweli nchi ipo njia panda kuhusu elimu. Pamoja na uozo huo wa matokeo kilichonishangaza ni matendo au majibu yanayotolewa na hao wahusika ikiwemo walimu, watu wa baraza la mitihani pamoja nawaandishi wa habari.
1. Nianze na...
Kikwete yule alie kuwa mbunge wa Bagamoyo badae Chalinze si dhani kama ni huyu.
Kikwete yule waziri wa nishati then Waziri wa fedha si dhani kama ni huyu.
Kikwete yule waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa si dhani kama ni huyu
Kikwete huyu mbona hafanani na yule..
Sina hakika kama...
Habari wana JF!
Mtoto wa Wangu amegeuka shoga ana miaka 13. Nifanyeje ili kumtoa katika janga hili? Naomba msaada wenu wa mawazo ndugu zangu.
Roho inaniuma lakini sina cha kufanya!
Ndoto, ndoto, babu anatibu kwa sababu kaoteshwa! Yes ameoteshwa kuponya magojnwa matano sugu! Hii ni kwa mujibu ya wenzetu walioenda huko kupata tiba. Siwalaumu hata kidogo wagonjwa kukimbilia huko hebu jiulize ingekuwa wewe unaumwa gonjwa lisilo dawa halafu unasikia kuna mtu anatibu ugonjwa huo...
Heshima kwenu wana JF.
Katiba mpya ndio habari iliyopo mjini sasa, ni kweli hata mimi naihitaji sana ila hofu yangu ni kuwa katiba ni maandishi tu hayatendi chochote pasi na matakwa ya walioitunga. Hii mbovu tulionayo ina mazuri yake lakini hakuna wa kuyatekeleza tena machache.
Wakati...
Salaam ndugu zangu, kuna utapeli umezuka kwenye huduma za benki hasa kwa wenye kutumia simu za mkononi kuhamisha au kupata huduma zozote za benki. Juzi nilikuwa NMB tawi la Morogoro road hapo Dar nilimuona dada mmoja akilalamika kuwa akaunti yake imekuwa ikihamishwa fedha na watu asiowajua. Ila...
Asalaam alykum! Nisameheni jamani niliingia bila hodi wakati wa uchaguzi. Sasa nawasabahi rasmi. Nimefarijika sana na JF kwani penye wengi pana mengi. Hodiiiiiiiiiiiii:target:
Ule wakati niliokuwa nausubiri sana sasa umefika. Hoja ya Dr Slaa kuwa wabunge wana maslahi makubwa sasa ni wakati muafaka wa kuipigania. Natarajia wapo wabunge ambao watahakikisha na hata kususia posho na marupurupu kibao ili fedha hizo ziende kwenye huduma za jamii kama maji, afya na elimu...
Lipi lililo bora kufukuza mamba waliopo mtoni ndio tuogelee au kuogelea na kuwafukuza tukiwa ndani ya mto huo huo. Yes nimelazimika kusema hivyo kwa kuwa tumekubali kuingia katika uchaguzi ilhali tukijua fika kuwa katiba iliyopo haitufai na haiwezi kutupa haki nafikiri sasa tumeshapata somo la...
Naomba mzitaje hapa for JF reference naanza na
1. Barabara za juu!
2.Tatizo la maji litakuwa historia hapa Dar
3. Lami kuunganisha Mara na Arusha kupitia serengeti
4.
Ndugu wana JF hatimae ule mchakato kama sio mchakachuo wa uchaguzi umeshapita na wote tumeuona kwa macho yetu. Je tumejifunza nini? Kumekuwa na malalamiko mengi sana juu ya uchaguzi huu ulivyoendeshwa. Kampeni hazikuwa na tatizo kubwa sana kwa kiasi kikubwa zilikwenda salama, tatizo lilianza...
Nauliza kwa sababu nashindwa kuelewa maana wao ndio walikuwa muhimu kutuletea habari zote sahihi za uchaguzi na Mwenye kibao wa tume angekuwa kazi yake ni kukat na kupest sasa hii ya kukat tu imetoka wapi? Na nyie mawakala tunaomba mtunze kumbukumbu zote muhimu za uchaguzi maana dalili za...
Hapa Sugu, Lema,akija Zito, Mdee na Mnyika we acha wakisaidiwa na Ndesa pesa mzee wa CUF Hamadi Rashid na wengineo! Tuombe uhai hapo mjengoni!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.