Tafadhali naomba kujua kama kirutubisho cha carogold kina madhara kwa binadamu na kuku watakao totolewa kutoka kwenye mayai ya kuku waliopewa kirutubisho hicho.
Habari wana jukwaa,
Kuku wangu wanataga mayai hayana kiini cha njano kabisa, hata niwape vitamini gani. Katika pita pita nikagundua hii carogold, natamani kuitumia lakini najiuliza je haina madhara hasa kwa binadamu na mayai ya kutotolesha?
Habari wanajukwaa,
Tafadhali anayejua dawa nzr ya kutokomeza kabisa minyoo tegu anisaide,inamsumbua sana binti yangu, nimeenda hospital mwanangu anapewa dawa na baada ya muda anawaona kwenye kinyesi, tafadhali nisaidieni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.