Search results

  1. M

    Swali kwa wasukuma; Je unaweza kuoa Mmakonde?

    Sidhani ukabila siku hizi hi tatizo tena
  2. M

    Ludovick Joseph: Kilio cha usaliti - Sehemu ya pili

    Unasema, umejiunga UDSM 2007 na ulikuwa uko mstari wa mbele kuhakikisha CHADEMA au vijana wengi wanajounga na CHADEMA. Nimekuwa UDSM toka 2001 mpaka sasa. Naomba usidanganye watu mwamko wa vijana kujiunga na CHADEMA umekua kuanzia baada ya Uchaguzi wa 2010. Kwani wewe bila kuungaunga stori...
  3. M

    Mbowe: Tutachukua nchi kwa Ulaini bila Kuteka Mtu yeyote

    Kama mara nyingi anavyosema Karungendo ni "bora CCM kuelekeza nguvu nyingi katika ku-win mioyo ya watanzania (wapiga kura) kuliko kuelekeza bnguvu nyingi ku-ua au kufifisha wapinzani
  4. M

    Nakala ya karatasi na mwandiko wa Lwakatare wakati anatoa maelekezo hii hapa

    Rwakatare katika clip anaonekana kuwa alikuwa anaandika karibu kila neno alilokuwa akilitamka. 1. Linganisha hiyo summary (in point form) na muda katika clip (coverage) 2. Kutuaminisha kuwa hicho ni ndo alichokuwa akiandika kwa muda wote katika clip (toka mwanzo wa clip mpaka inapoishia clip na...
  5. M

    Kamanda John Mhozya tumaini jipya Kibaha

    I can bet this is the right candidate for the Kibaha Constituent. Forget about the "masalia virus" from Kibaha. John Muhozya he is my fellow lecturer at UDSM and a close friend of mine
  6. M

    Kamanda John Mhozya tumaini jipya Kibaha

    Si Mwanasheria tu, ni Wakili na Mhadhiri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Shule Kuu ya Sheria (Zamani Faculty of Law)
  7. M

    Juliana Shonza: Mimi bado ni Makamu Mwenyekiti BAVICHA...!

    Niliwahi kusema hapa JF kuwa uandishi wa Shonza wa michango kwa kutumia akaunti ya TUNTEMEKE na matamko yake vinamfunga hata kama hujaangalia kilichoandikwa ndani. Hatumii herufi kubwa, pili hatenganishi kati ya neno na neno. Ushahidi huu tu unaweza kujua bila shaka katika threads mbalimbali...
  8. M

    Mwanajeshi wa Lema afunguka, asema bora afukuzwe kazi!

    Mi ninachojua askari hawaruhusiwi kuwa "wanachama cha siasa" na si "kushiriki katika kazi za siasa kama vile kuhudhuria mikutano ya siasa" nk
  9. M

    CHADEMA kamati kuu mmecheza karata tatu vizuri, malizeni mchezo na hiyo ya nne...

    Coming with the same status the same people. The pattern is clear to identify who" is.
  10. M

    Huu ni ubadhirifu na ufisadi wa Dr. Slaa huko Mabwepande na mradi wa maji Karatu

    Msihangaike sana wanaJF we are dealing with Shonza coming out with different Ids. For me as Forensic specialist I can nakedly see her in the answers, the pattern is so clear
  11. M

    John Heche akiri CHADEMA imeandaa mkakati wa kumpeleka Dr. Slaa ikulu 2015... Shame!!!

    The same I can still understand who wrote this. I can establish the pattern of who from the previous threads to this one
  12. M

    Huu ni ubadhirifu na ufisadi wa Dr. Slaa huko Mabwepande na mradi wa maji Karatu

    Hivi ukigundua kuwa kila mtu unayekutana naye njiani ni kama "anakuona ndani umevaa kufuri lililochanika na chafu" unajisikiaje? The Tuntemeke, Mchange, Shonza etc are they blind to a point cant see this naked truth?"
  13. M

    Huu ni ubadhirifu na ufisadi wa Dr. Slaa huko Mabwepande na mradi wa maji Karatu

    @ Taswira please, please, always at least try to win peoples trust but not forcing people to believe your baselessness". Ni Njaa tu inawasumbua. Kuishi wa kudanganya kila siku na kuwajaza ujinga anayekupatia mkate wa kila siku (malipo ya utumwa) hakukusaidii
  14. M

    Huu ni ubadhirifu na ufisadi wa Dr. Slaa huko Mabwepande na mradi wa maji Karatu

    Taswira unless yo believe in shortcuts which is always bound to failure. I know ZKK since were together at UDSM in the early 2000s. I always teach people (detectives) how to "investigate complex and inticate issues" of which the current fracas does not even qualify to be
  15. M

    Pendekezo: Mhe John Mnyika (Mb) Ubungo, Gombea nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA TAIFA uchaguzi ujao

    I know Mnyika toka tukiwa utawani Maua Seminary. He is the guy who always stands in what he believes not in what other peoples believes in him he can be
  16. M

    Huu ni ubadhirifu na ufisadi wa Dr. Slaa huko Mabwepande na mradi wa maji Karatu

    Ben Saa8 kashamaliza mimi kama "mtaalamu wa Forensic anthropology" It is easy to identify them. They way they react, answer etc. As a specialist it is to identify the same person is answering in a thread with a different IDs
  17. M

    Huu ni ubadhirifu na ufisadi wa Dr. Slaa huko Mabwepande na mradi wa maji Karatu

    "Taswira" you are just another "trash" of the "same infinitude" though you think other people are blind and cant identify you.
  18. M

    Huu ni ubadhirifu na ufisadi wa Dr. Slaa huko Mabwepande na mradi wa maji Karatu

    Haihitaji Diploma, Degree, Masters, au PhD kujua aliyeanzisha thread hii ni Juliana Shonza ambaye mimi namuita anayetumia "akili za saluni kwenye jukwaa siasa". USHAHIDI WANGU: Ingawa ametumia ID ya Tuntemeke kijificha kenye shina la karanga wakati mwili mzima upo nje ambaye sote tunamjua kwa...
  19. M

    life after death

    Scientifically there is no after life, it is we who remains behind we invented the "after life" concept. Once you die like anything with life that is the "end of story". There is no "after life" our skeletons just get fossilized later for the archaeologists to discover. Masele, Mortuary...
Back
Top Bottom