Unasema, umejiunga UDSM 2007 na ulikuwa uko mstari wa mbele kuhakikisha CHADEMA au vijana wengi wanajounga na CHADEMA. Nimekuwa UDSM toka 2001 mpaka sasa. Naomba usidanganye watu mwamko wa vijana kujiunga na CHADEMA umekua kuanzia baada ya Uchaguzi wa 2010.
Kwani wewe bila kuungaunga stori...
Kama mara nyingi anavyosema Karungendo ni "bora CCM kuelekeza nguvu nyingi katika ku-win mioyo ya watanzania (wapiga kura) kuliko kuelekeza bnguvu nyingi ku-ua au kufifisha wapinzani
Rwakatare katika clip anaonekana kuwa alikuwa anaandika karibu kila neno alilokuwa akilitamka.
1. Linganisha hiyo summary (in point form) na muda katika clip (coverage)
2. Kutuaminisha kuwa hicho ni ndo alichokuwa akiandika kwa muda wote katika clip (toka mwanzo wa clip mpaka inapoishia clip na...
I can bet this is the right candidate for the Kibaha Constituent. Forget about the "masalia virus" from Kibaha. John Muhozya he is my fellow lecturer at UDSM and a close friend of mine
Niliwahi kusema hapa JF kuwa uandishi wa Shonza wa michango kwa kutumia akaunti ya TUNTEMEKE na matamko yake vinamfunga hata kama hujaangalia kilichoandikwa ndani.
Hatumii herufi kubwa, pili hatenganishi kati ya neno na neno. Ushahidi huu tu unaweza kujua bila shaka katika threads mbalimbali...
Msihangaike sana wanaJF we are dealing with Shonza coming out with different Ids. For me as Forensic specialist I can nakedly see her in the answers, the pattern is so clear
Hivi ukigundua kuwa kila mtu unayekutana naye njiani ni kama "anakuona ndani umevaa kufuri lililochanika na chafu" unajisikiaje? The Tuntemeke, Mchange, Shonza etc are they blind to a point cant see this naked truth?"
@ Taswira please, please, always at least try to win peoples trust but not forcing people to believe your baselessness". Ni Njaa tu inawasumbua. Kuishi wa kudanganya kila siku na kuwajaza ujinga anayekupatia mkate wa kila siku (malipo ya utumwa) hakukusaidii
Taswira unless yo believe in shortcuts which is always bound to failure. I know ZKK since were together at UDSM in the early 2000s. I always teach people (detectives) how to "investigate complex and inticate issues" of which the current fracas does not even qualify to be
I know Mnyika toka tukiwa utawani Maua Seminary. He is the guy who always stands in what he believes not in what other peoples believes in him he can be
Ben Saa8 kashamaliza mimi kama "mtaalamu wa Forensic anthropology" It is easy to identify them. They way they react, answer etc. As a specialist it is to identify the same person is answering in a thread with a different IDs
Haihitaji Diploma, Degree, Masters, au PhD kujua aliyeanzisha thread hii ni Juliana Shonza ambaye mimi namuita anayetumia "akili za saluni kwenye jukwaa siasa".
USHAHIDI WANGU: Ingawa ametumia ID ya Tuntemeke kijificha kenye shina la karanga wakati mwili mzima upo nje ambaye sote tunamjua kwa...
Scientifically there is no after life, it is we who remains behind we invented the "after life" concept. Once you die like anything with life that is the "end of story".
There is no "after life" our skeletons just get fossilized later for the archaeologists to discover.
Masele, Mortuary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.