Makofi kwako tafadhali.
Huyo boya huko juu ameingiza watu chaka mbaya.
Mimi nilicheza game siku ya 12 nimetoa bonge la binti chotara fulani hivi amaizing.
Sema ana miaka 3 sasa nimeagiza dog aina ya Germany sheffed maana utopolo sio watu.
Kuna hospitali hapa Mbeya wanajiita mabingwa wa meno lakini walichonifanyia.
Jino limetoboka linauma wananisafisha na wananipangia tarehe ya kurudi kusafisha tena.
Nimerudi kusafisha zaidi ya mara 8.
Mpaka hela yote ambayo ni limited kwenye bima imekata.
Mpaka sasa naandika jino linauma...
Kusema ukweli nimenunua godoro Dodoma inch 8 mwaka juzi 5x6 yani ni ovyo. Ukilala shimo halirudi juu tena. Yani nagombana na wife kila siku kisa alinishauri ninunue comfy mimi nikawa mbishi sababu comfy tumetumia sana nikasema tubadilishe brand kumbe nimejiroga.
Godoro Dodoma kwa sasa ni fake tu...
Uliza kwanza mkuu.
Barakoa ukisha vaa huruhusiwi kuigusa mpaka unawe kwa sabuni na maji tiririka au kitakasa mikono.
Sasa unakuta mtu hivyo vyote hana kwa muda huo au hataki usumbufu na atakutana na watu sio muda.
Labda kama yupo safari ndefu peke yake na hatasimama kwenye mji au kijiji.
Allah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.