Sipenzi mawazo Ya kupewapewa
Na ndo mana mi sipendi bure
Sipendi ukoloni hasa mkoloni mweusi
Na ndomana joh mi siendi kule
Ili tu mi nile zile chuki zile
Hunijui kivileNyani haoni kundule
You kiss ass na mnabaki na dhiki deile
Na misa za kanisa mko siti za mbele
Ni msasa nakuna kama kuna...
Huyu jamaa ametoa nyimbo na underground kama reynavvy na kuweka record ya viewer million mbili ndani ya siku mbili. Sasa hii ya sasa hivi katoa na msani mkubwa tena anajulikana dunia nzima lakini mpaka sasa video hajafikisha million 1 tatizo nn!! Na sasa hivi hawaongelei issu ya viewer
Wale waliosema kuwa aje haikutakiwa kuwa video bora bongo eti moyoshine ndio ilitakiwa kuchukua hiyo tuzo, Hatima video hiyo imeendelea kupasua anga za kimataifa na hiyo jana kunyakuwa video bora ya mwaka kwa africa kupitia kituo kikubwa cha television cha soundcity televion. Hongera kingkiba
Nilikuwa nacheck mtv base kipindi chao cha verified nimeona ngoma ya nagharamia imepingwa.Naona jamaa baada ya lile shindano la face of tanzania kunakitu wamejifunza..
Icon wa Bongo flava Naseeb ‘Diamond’ Abdul, amewashangaa wasanii wanaomtupia maneno kila kukicha kuwa anawabania wasanii wengine ‘connections’ za kung’ara kimataifa.
Akizungumza na TBC juzi, Platnumz amesema anasikitishwa sana na maneno hayo ilhali anafanya juhudi kubwa kujitafutia na...
Polepole wakati akiongea kwenye kipindi cha 360? cha cloudz tv kama mgeni mualikwa sambamba na pro beregu alisema EL ndio alikwamisha mchakato wa katiba mpya kupitia rasimu ya pili ambayo ililetwa na jaji joseph warioba.Kwahiyo kwa sasa sababu tumeshapata our new prezdent namuomba polepole...
"Naomba na nyinyi msiniangushe maana wengine mchana mnakuwa CCM, usiku mnahamia vyama vingine, mimi nina moyo kama nyie jamani, msiponichagua nitakwazika sana wana Muleba". Alisema Magufuli mgombea urais CCM alipokuwa akizungumza na wakazi wa Muleba kusini hapo jana. Source: Ippmedia.com...
Dah! hivi kweli Serikali imekosa majibu ya swali la mh: Mbunge kuhusu mapato ya biashara ya ringtones..!? Kweli sasa naanza kuamini kuwa Serikali Inatukumbatiaga tu kwa Mda mfupi na kututumia Wasanii kwenye Kampeni zao kwa Maslahi yao Binafsi, kisha wanatu Damp Baada ya kufanikiwa kwenye...
Mambo 20 ya Kushangaza Niliyojifunza Kwenye Mkutano wa CCM Jagwani Haya Hapa....
1. Yamoto Band wameshangiliwa zaidi kuliko Magufuli
2. Wakati Mbowe amewakutanisha Lowasa na Sumaye. Leo Jakaya amewakutanisha Diamond na Wema Jangwani,
3. CCM wanajua kuwa mikutano ya UKAWA inapata...
Diamond asema alilipwa shilingi milioni 100 ili kutumbuiza jukwaa moja na Alikiba katika show ya ‘Kiboko Yao'.
Mashabiki wengi wa muziki wa Bongo wanatamani siku moja kuwaona Diamond na Alikiba wanafanya kazi pamoja, kama ambavyo Wizkid na Davido ambao wameahidi kuachia joint yao siku...
On Instagram:
@Thebestfetty; "Zilitoka mixtape za matusi za ANTI VIRUS vol 1 na 2, BASATA ilikaa kimya na ilitoa kibali cha uzinduzi wa anti virus volume 2, Viwanja vya posta, licha ya kuwepo kwa malaamiko. SWALI ni, kifungu kilichotumika kumhukumu ni kuwa UCHI au ni UVUNJAJI WA...
Nakumbuka Polisi walipovamiwa kituo cha Kibaha, CUF walipotaka kuandamana kwa ajiri ya kumbukumbu ya watu waliofariki kwenye uchaguzi 2000, walikataliwa kwa kuwa Polisi walikuwa na tarifa za kiintelegesia kuwa zile silaha zinaweza kutumika Kigaidi,so wakapiga marufuku mkutano na maandamano ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.