Kama kichwa cha habar kinavyojieleza kuna ujumbe wenu kutoka kwa nabii mkuu Bonifasi,mnatakiwa muhame huo mji haraka sana [emoji3],someni kipeperushi hapo [emoji116][emoji116][emoji116]hapo dwasi kutoka kwa nabii
Jaman dada zangu hasa maslay qeen mnapoenda kwenye majumba ya starehe jitahidin muwe hata na hela za kianzio wakati mnavizia madanga yajichanganye, hakika nimewaonea huruma sana hawa wakina dada
Habari za hio jioni waungwana, poleni na majukumu ya kutwa nzima ya leo.
Sina mengi ya kusema ila wasomi pokeeni ujumbe wenu kutoka kwa Pastor Mgogo, najua mtakosoa sana ila ujumbe ndio huo, ufanyieni kazi
Wasalaam
Habar za asubuhi wapendwa
Kama kichwa cha habarI kinavyosema naombeni ushauri wa kisheria,
Ipo hivi kuna binti nilizaa naye mtoto mmoja wa kiume kutokana na tabia zake haikuwezekana kuishi pamoja. Sasa huyo mzazi mwenzangu amekuwa ni mtu wa shari shari muda wote na hii tabia ndio mojawapo ya...
Katika maisha ya kimahusiano huwa naamini hakuna formula ya kusema mke/mme lazima umpatie sehemu fulan,waliomo humu jf ndio waliopo mtaani japo wengi humu hawapo kwenye uhalisia wao lakini wapo wakweli, hivyo basi na sina budi kutangaza Nia
Wasifu wangu
Dini: RC
Elimu: Nina elimu ya kujua...
Habari za jumatatu wadau na imani weekend ilienda poa sana
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu kuna dada nipo nae kwenye mahusiano na ninadhani nilishaleta uzi hapa unamzungumzia huyo mwenzangu, huyo dada ni single mama ila nilitokea kumwelewa sana. Kwa kweli tuna mipango mingi ya...
Wanandoa wawili nchini China walienda kwa doctor kupata ushauri baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 4 bila kupata mtoto
Daktari baada ya uchunguzi aligundua kuwa wamekuwa wakifanya tendo la ndoa kinyume na maumbile bila wao wenyewe kujua
Mwanamke alikuwa bikra huku njia yake ya haja kubwa ikiwa...
Naam kabla ya yote niwatakie heri ya mwaka mpya kwa wote tuliochaguliwa kuuona huu mwaka,ni wangap tumeanza nao mwaka ulioisha but wameshindwa kuumaliza so hatuna budi kumshukuru MUNGU alie juu
Niende kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu,huu uzi ni maalumu kwa watumiaji wa hicho kilevi na...
Habari za jpili wadau,bila kupoteza muda naomba nielezee sababu za kuomba ushauri/mawazo,japo mtanisamehe mm sio mwandishi mzuri twendeni hivyohivyo.
Iko hivi mwaka huu kwenye mwezi wa 5 niliamua kuvunja ukimya kwa kuanzisha mahusiano na mwanadada mmoja,kwakweli huyo dada nilimwelewa sana ni...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mmiliki wa hii no ni tapeli anajifanya anafanya kazi vodacom huduma kwa wateja
Ila kwa kifupi hii no 0766652626 ilinipigia sim week iliyopita,baada ya kuipokea tu sim jamaa anaongea as if (anafanyakazi voda)basi akanitaja jina langu mm nikamuitikia naamu...
Nina mpenzi wangu ambaye tumekuwa ote toka nikiwa shule ya msingi mpaka saivi nimefika Chuo Kikuu nasoma hapa Chuo Kikuu cha mtakatifu Augustine (SAUT) Tawi la Mwanza mwaka wa Pili.
Nimekuwa nae kwa Muda mrefu sana katika shida na raha na mpenzi wangu amenisaidia mambo mengi sana japokuwa hana...
*nimeangalia tamthilia ya kikorea inayohusu mapenzi kwa miezi 3 hakuna hata kipande kimoja demu alichoomba hela, cha kushangaza hizi tamthilia dada zetu wanazipenda sana,lakini je wanajifunza maudhui yake kweli?*
Habari za asubuhi WanaJF,
Bila kupoteza muda naomba niende kwenye hoja kama kichwa cha Habari kinavyojieleza.
Kuna binti nilimtongoza muda mrefu ila akawa analeta mapozi kama unavyoelewa dada zetu hawa,basi bhana juzi akanipigia akaniambia leo ana hamu ya kutoka out,kama kawaida yangu mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.