Prof. Mahalu ndiye alimpeleka Magufuli kwa Mkapa baada ya kushinda ubunge na kumwomba amlee. Mkapa akampa kuwa naibu waziri.
Magufuli kakaa kwa prof. Mahalu alipojiunga udsm. Kuna kipindi alikuwa anakaa kwa Mahalu kama mdogo wake.
Undugu wao ni kuanzia kule Sengerema. Hao ni ndugu kabisa...
Nawapeni TIPS Magufuli alivyoingia udsm alifikia au alikuwa anakaa kwa nani?
Je Magufuli na prof kule kwao vijiji ni umbali gani?
Nani alimuunganisha Magufuli kwa Mpaka baada tu ya Magu kuchaguliwa ubunge?
Ukipata majibu hayo utaelewa hili tukio la Leo.
Wengi mlidanganywa kuhusu Mwakyembe kama slivyowadanganya watu wa Kyela.
Huhitaji kukaa na Mwakyembe siku nzima kujua ni tapeli wa kisiasa.
Analoongea asubuhi liko tofauti na analoongea jioni. Ni mnafiki mkubwa na hana utendaji wowote wa maana zaidi ya mbwembwe.
Mkuu jaribu kufanya mauaji ya kisiasa au kigaidi USA na utaisoma namba.
Hata Israel mtu wanayemhitaji kama yuko USA wanakaa kimya.
Haya mauaji mengine ya ndani hasa yenye uhusiano na madawa ya kulevya, mengi wala hawahangaiki.
Hamuelewi ya Marekani nyie. Kule ndani wao kwa wao ni rahisi hata polisi kuto kuchunguza sana.
Ila ikatokea raia au mkazi wao kauawa Kwa njama toka nje ya nchi hapo mtawatambua Wamarekani.
Tena sababu zikiwa siasa ndio kabisa.
Jidanganye. Ua mtu tena kwasababu ya kisiasa huko Marekani utakamatwa.
Hata Israel haiui maadui wake huko USA.
Huo ujinga wenu fanyeni huku huku kwetu.
Ni mtu mjinga tu kama na wewe tena bila exposure unaweza kuuliza kwani Mange anafanya nini Marekani.
Watanzania washamba wanafikiria nchi zilizoendelea ili kufanikiwa lazima uwe na ki kazi likubwa. Hapana, ubunifu ndio unalipia huko Kwa wenzetu.
Kwa kazi anazofanya Mange za kuamsha na kutetea...
Huyu profesa hajui yeye amechangia kutufanya Watanzania wengi tukose furaha shauri ya njaa zake.
Katika watu walioniongezea machungu sana miaka ya karibuni ni pamoja na huyu Lipumba.
Nchi hii ina watu wajinga sana. Mtu anapoongelea matokeo ya mitihani na akasema Nina cheti cha mtu Fulani ina maana nyingi sana.
Inawezekana ana result slip, inawezekana ana copy tu hata ya vyeti vya shule vya kumaliza form four. Inawezekana ana list ya matokeo ya wanafunzi husika.
Ili...
Akili za kama huyu pimbi ndio zinaiua Tanzania.
Kufeli form four hakumfanyi mtu awe hana mchango wa maana.
Kuna shule nyingi zaidi ya darasani. Kutembea na exposure nayo ni shule.
Ukiwa umenasa shimoni acha kuendelea kuchimba maana mwisho wake utazama.
Hongera Stive, umeona uko shimoni umeamua kuwa mpole na kujiokoa.
Ila utetezi wako nimecheka sana.
Mwaka 2010 niliongea na Mwakalinga wakati anagombea ubunge Kyela. Nakumbuka aliniambia nyie hammmjui Mwakyembe ni muongo na mnafiki mkubwa. Kaa naye hata siku moja utagundua hakuna mtu muongo kama yule.
Nilimshangaa sana huyu kijana mwenzetu wakati ule. Nikaamini kweli kabisa jamaa kapewa pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.