Nimeona michuziblog habari Mbunge wa Mkuranga Mhe.Abdallah ulega anafanya uzinduzi wa jengo lakini aliyeandikwa sio yeye nimekwazika sana kwanini watu tunaowachagua wanakuwa kiitifaki ni bure!Hii katiba ni bomu itupiliwe mbali. Jamani wenzangu hii imekaaje aaah! Au tuwe na magavana kama kenya?
Habari wandugu ningependa kujuzwa juu ya suala linalonitatiza kuna jirani yangu anaendeleza eneo lake ila shida ni kwamba limejaa mawe makubwa sana sasa alileta mashine ya kupasua siku kadhaa zilizopita zina mikelele lakini sio shida si ndo maendeleo hayo sasa naona hali imekuwa mbaya baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.