Search results

  1. eden kimario

    Adui wa mtu ni wa nyumbani mwake

    Neno dogo lakini lenye marefu na mapana yake. Hivi ni kweli kwamba unaweza ukawa na rafiki kumbe ana mipango ya Siri ya kukuangamiza kabisa! Na wewe huna hata taarifa na unaendelea kucheka nae tu? Je, ni kweli watu wenye upendo uliopitiliza wanaweza kuwa na mipango ya Siri ya kukuangamiza...
  2. eden kimario

    Bangi na dawa za kulevya zinawasaidia Nini vijana maeneo ya kazi?

    Nalisemea hili nikiwa nimeshuhudia kabisa katika kampuni ninayofanyia kazi, kuna vijana wa kiume na wa kike wanavutia BANGI chooni. Tena utawakuta wamekaa ndani ya choo hata watano wakivuta, jamani muache hii tabia kama mnaweza kujifungia ndani ya choo watu watano wa jinsia moja, huku mkivuta...
  3. eden kimario

    Picha katika ulimwengu wa kiRoho na hatima juu ya maisha ya MTU

    Kuishi maisha unayostahili katika ulimwengu wa kiroho
  4. eden kimario

    Uchaguzi 2020 Nchi yetu inakwenda kumpata Rais mpya kabisa kutoka kwenye chama kipya kabisa

    Wakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana. Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli...
  5. eden kimario

    KIBOKO ni Mnyama Mwenye Tabia Za Kushangaza Sana | Wildlife Tanzania

    leo moja kwa moja tutamwangalia mnyama “KIBOKO” ambae anapatikana bara la Afrika tu. UTANGULIZI Kiboko ni miongoni mwa jamii ya wanyama ambao wana ishi muda mrefu sana kwenye maji ukilinganisha na mamalia wengine wote. Kiboko hutafsirika kama farasi wa mtoni na hii imetokana na asili ya jina...
  6. eden kimario

    MJUE MNYAMA FARU: Mnyama mwenye pembe inayotengeneza dawa maarufu ya Viagra

    Faru ni Mnyamapori mkubwa wa familia Rhinocerotidae. Mnyama Faru ana akisi Jina la Kiingereza Rhinoceros ama Faru na sio Kifaru kama wengine waitavyo. Jina hili lina asili ya kiingereza limetoholewa kutoka kwenye lugha ya Kigiriki lenye maneno mawili Rhino ( Nose/Pua) na Ceros (,Horn/Pembe) Nose...
  7. eden kimario

    Wanyama wanaopewa heshima kubwa na mataifa mbalimbali Duniani na kutumika kama nembo za nchi zao

    Katika uumbaji Mwenyezi Mungu aliumba viumbe wa aina nyingi sana, viumbe hao ni pamoja na ndege, samaki wakiwamo na wanyama pamoja na wadudu watambaao na kuruka, pamoja na uumbaji huo viumbe vyote ni binadamu pekee aliyeweza kupewa ufahamu wa kutambua mema na mabaya, kama ambavyo mwenyezi Mungu...
  8. eden kimario

    Dubu: Mnyama anayependa kuogelea kwenye maji ya barafu, lakini ni hatari mno

    Katika mnyama anayeongoza kwa kutajwa katika vitabu vitakatifu basi mmoja wapo ni huyu Dubu, achilia mbali Chui na Simba. Na anavyotajwa basi inaonekana ni mnyama hatari sana na ndivyo alivyo. DUBU ni miongoni mwa wanyama wakubwa wawindaji na wala nyama, kimuonekano unaweza kumchukulia kawaida...
  9. eden kimario

    Simba mnyama: Kiumbe kinachoogopwa mno na wanyama wenzake huko mbugani, hupingana wenyewe kwa wenyewe tu

    Simba ni miongoni mwa wanyama ambao ni jamii ya paka, ukiondolea mbali kwamba ndiye mnyama mkubwa anayewinda katika jamii yao hiyo, lakini pia ni wanyama ambao hupenda kuishi katika makundi makundi, kwa lugha nyingine naweza sema wanaishi kifamilia kama ilivyo kwa binadamu, na familia zao huweza...
  10. eden kimario

    Sifa kuu za mnyama Mamba: Mfalme wa majini na nchi kavu

    Mjue Mnyama Mamba kwa undani wake Mamba ni moja ya mnyama alaye nyama, maisha yake ni majini na nchi kavu tuu, watu wengi hufikiri mamba ni mnyama anayezaa, lakini sivyo mamba ni mnyama anayetaga na hutaga mayai kwa wastani wa 35 mpaka 50, najua utajiuliza sasa huyu kiumbe anaatamia vipi wakati...
  11. eden kimario

    Leo nimeamua kuusifia mtandao wa Vodacom Tanzania

    Kinachonivutia katika mtandao huu ni urahisi wa kuingia internet, tofaut na mitandao mingine. Bila shaka kila mmoja atakubaliana nami kuwa hawa vodacom wapo vizuri. Pamoja na kwamba vifurushi vyao vya internet huvipandisha bei pale wanapojisikia bila kumtaarifu mteja, na bila shaka ni...
  12. eden kimario

    Kutoka mbugani: Sifa kuu za wanyama aina ya Chui na sifa zao binafsi

    1. Mondo (Serval) Ni mnyama mdogo jamii ya paka, kama walivyo wanyama wengine wawindaji naye hula nyama tuu, huwinda wanyama wadogo pamoja na ndege, ni mjanja mjanja wapo wa aina mbili huyu kafanana na chui lakini mwingine hufanana na simba, Sifa zake 1. Ndio mnyama mdogo jamii ya paka waishio...
  13. eden kimario

    Nyati: Mnyama mwenye sifa ya ubabe, mkali mno na asiyetabirika kirahisi

    Maelezo Nyati ni mnyama mkubwa. Ana mita 1.7 kwenda juu, urefu wa mita 3.4. Nyati wa savana ana uzito wa kilo 500–900, ambapo nyati wa kiume kwa kawaida huwa mkubwa kuliko nyati wa kike, akiwa na uzito wa juu mbalimbali. Nyati wa msitu huwa nusu ya kiwango hicho. 1 Nyati wa savana huwa wa...
  14. eden kimario

    Sifa 13 za mnyama kakakuona

    Inakadiriwa kuwa mnyama huyo huishi kwa kipindi cha miaka 20 akiwa katika pori. Lakini hiyo ilikuwa inafahamika zamani kipindi ambacho mnyama huyo alikuwa anaonekana tofauti na sasa. Kuna aina nane za kakakuona duniani Aina hizo nane za kakakuona zimetoka katika familia inayofahamika kama...
  15. eden kimario

    Hizi ndo aina 10 za paka hatari duniani walioishi miaka 1000 iliyopita

    Hizi ndo aina 10 za paka hatari duniani walioishi miaka 1000 iliyopita kabla mwanadamu hajaanza shughuli za uwindaji , wanyama jamii ya paka ndio waliokuwa wakubwa na wenye nguvu kuliko wengine wote duniani, hat leo hii wanyama hao bado wanazidi kuwa tishio mfano wa chui, na wengineo hapa katika...
  16. eden kimario

    Sifa 10 zitakazokufanya kuwa kiongozi bora

    Je kiongozi bora ni yule mwenye wafuasi wengi au miaka mingi katika uongozi? La hasha, kiongozi bora hujengwa kwa sifa zinazoeleweka na kila MTU anayemtizama na kumsikiliza. Kushindwa kuziona sifa hizi au kuzisikia kunawafanya wachaguaji kuonekana mazuzu kwa kumchagua MTU asiyefaa Ni rahisi...
  17. eden kimario

    Sifa 10 kutoka za Mnyama Fisi

    1. Kicheko ambacho fisi hutoa huweza pelekea kujua umri wa fisi huyo. 2.Fisi ni wanyama wenye ushirikiano sana,ukimchokoza mmoja unakuwa umenunua ugomvi wa familia nzimaa,apo akitoka anaenda Kuita kundi wanakuja kama wotee kukabiliana na wewe. 3.Ni mnyama ambae hujali sana watoto wake na...
  18. eden kimario

    Sifa kuu 13 za mnyama twiga huko porini

    HISIA ZA KIMAPENZI ZA TWIGA ZIPO SHINGONI KWAKE SIFA ZA TWIGA NI ZA KIPEKEE Ni mnyama mrefu kuliko wote waishio ardhini. Hupenda amani mno. Ni mnyama ambaye wanyama wenzake wanaokula majani hujisikia amani kukaa naye kwa kuwa huona hatari tangu ikiwa mbali, sasa usishangae wanyama kama...
  19. eden kimario

    IPO siku, Jpm na Ndugai pamoja na naibu spika wake watajuta kwa wanachokifanya wakiwa madarakani

    Wanasema majuto ni mjukuu, wakimaanisha pia kizazi ni lazima kihusike. Ukiacha kizazi mhusika alieitenda dhambi na kukipa shida kizazi chake, atajuta pia kwa namna moja au nyingine lakini kizazi chake kitataabika sana kwa namna makosa yake yalivyokuwa makubwa. Laana ni kitu kibaya sana Labda...
  20. eden kimario

    Kumbukumbu ambayo ccm na spika wao wanaikana na hawaijui: Mwanasiasa wa upinzani Tanzania Tundu Lissu apigwa risasi na watu wasiojulikana

    Mwanasiasa wa upinzani Tanzania Tundu Lissu apigwa risasi na watu wasiojulikana 07 Septemba 2017 Lissu,mwanasheria mkuu wa CHADEMACHADEMA Mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu amepigwa risasi na watu wasiojulikana jijini Dodoma, katikati mwa Tanzania. Mwanasiasa huyo amekimbizwa...
Back
Top Bottom