Nafikiri hakuelewa niliyemcoment, maana yangu ilikuwa moja tu, mapadre wa kikatoliki ni wasafi katka elimu wala hakuna ubabaishaji lakin huko sefrikalin au hao mawazir usishangae ukakuta anayemkagua mwenzie naye anacheti fake kitu ambacho kwa mapadre hauwez kukutana nacho. Umenielewa mkuu !
Alf hawa jamaa hawajui watz wanataka nin au binadamu by nature huwa anataka nin, wao wanafikr kuipinga chadema inaweza kuwasaidia kutoka, kwa ninavoziona siasa za nchi hii ACT wanajizika mazimamazima.Muda utatwambia
Heading tu nimesoma, unaonaje na kumbi za starehe zikafungwa, viwanja vya michezo vina kaz gani au hata vipindi vya mziki kwenye radio na tv ni vya kazi gan, mbona maisha yako vilevile baada ya kutoonesha bunge live??.
Posco wakat mwingine huwa sikuelewi japo maadishi yako yanavutia kuyasoma, elewa kuwa sikila maala uhitajika hela bali hata mkono tu inatosha watu kuwa na aman mioyoni mwao.Mfno. rais anapohamua kuwapa watu mkono anapotembelea maala kwanin watu waugombanie huo mkono wa rais ? Je unanin cha ajabu...
Mbona unavaa mitumba ? Mbona ulikubar kubadir jina lako kwa kisingizio cha dini, hiyo yote ni sababu ya umaskini si hiali yako ndio maana unaona wanapenyeza ushoga
Ishi kama jamii nyingine inavoishi ukileta uzungu mbele ya mwafrica lazma uchukiwe hata kitendo cha kukurupuka unaleta uzi hapa inaonyesha hauko sawa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.