Wakubwa habari za leo,simu yangu aina ya samsung galaxy 20 plus ina tatizo ninapohitaji ishike 4g simu inashindwa kabisa kufanya kazi lakini 4g inaonekana nikiirudisha 3g tatizo linaisha.msaada tafadhali
kwa wiki 2 sasa nimeweka protector 2 ktk hii simu lakini zinabanduka baada ya siku chache tu,naombeni msaada wapi nitapata mtaalam au protector original za simu hii.nipo dsm
Habari wana jamvi, pamoja na vyuma kukaza nimejichanga nikapata sh laki4 hivi kwa ajili ya kununua simu. nimekuja kwenu ili mnipe msaada na ushauri nichukue simu ipi kwa bajeti hiyo. sitaki tecno na nduguze. nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.