Hao viongoz wapigaj tu, hakuna la maana wanalofanya zaid ya kugawa tishet na sakfu
Cwt inaenda kufa shimon sasa, ni vile tu serikal imefumbia macho lkn kuna uozo huko
Sasa walimu ujanja ni chama cha chakuhawata makato 5000/= only kuliko huko 2%
Nilimuoma mwigulu ameambatana na timu ya wabunge wa kutosha, na tena ameunda kamati ya miaka kumi mbele kusaidia kanisa ktk shughuli mbali mbali za kanisa
Mchawi wa unene ni chakula, mazoez ni sehem ndogo sana ya kupunguza mwili, imagine unafanya maxoez then unakuja kula kile ulichopunguza kweny mazoez,
Asubuhi kula ushibe ila mchan usile na usiku kula kidgo sana mf usiku unaweza kula chapat mbili ukalala
Ila linda sana chakula ukifhibiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.