Search results

  1. D

    Dodoma: Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge la 10, Nov 2010

    Kabisa 'yani asijifanye kuimba taarabu ila ndo fani yake
  2. D

    TAKUKURU: Chenge hahusiki na tuhuma za RADA

    lol ,naona mafisadi wanafanya nchi ni ya kwao na sasa ni muda wa JK kulipa fadhila kwa kuwaachia nchi taratibu ,tutakutana 2015 :israel:
  3. D

    Elections 2010 Eti Sitta ataka uspika, asema anafaa, Kweli ataliweza hilli Bungo La 10

    NA safari hii watamchakachua mana chama kimejaa wachakuaji lol
  4. D

    Elections 2010 CCM washinda Ukonga na Segerea

    Jimbo litarudi tu,subirini wachakachuaji
  5. D

    Elections 2010 Wafuasi wa chadema tumieni busara kunusuru uchaguzi kufutwa ubungo!!!

    PLZ naomba muwe watulivu wakose cha kufanya mana kila njia wanayotaka kutumia haiwatoshi.Viongozi wa chadema tunaomba muwahimize ndugu zetu watulie .
  6. D

    Elections 2010 Lawrence masha, basil mramba, makongoro mahanga wapeta!!!!!!

    Huu sasa ni utani CCM mnachotaka Kufanya ' Yani inaonyesha mnataka kuweka history Tanzania' huyo brazamen arudi state akale bata.atuachie wapiganaji wetu waingie bungeni lol
  7. D

    Elections 2010 FFU Convoy On Mandela Road

    Inatakiwa ifike kipindi askari wetu watumie akili si kila kitu amri'Watuache na Nchi yetu tunapenda Amani ' wakaombe mech Afganistan lol .PEOPLES POWER
  8. D

    Elections 2010 Tundu Lissu naye mwendo mdundo...!

    Yani mjengoni hakuna kusinzia, tuleteeni data jamani
  9. D

    Elections 2010 Uzembe wa mawakala kuwaponza wapinzani

    Inabidi chadema wajipange kuwaangalia hao mawakala kanjanja wa ccm
  10. D

    Elections 2010 Uzembe wa mawakala kuwaponza wapinzani

    Roho inauma ukiibiwa huku unaona lol .
Back
Top Bottom