Habari zenu,
Nahitaji kusoma hii fani ya uhasibu, nina cheti cha kidato cha nne cha sita na degree nyingine haihusiani kabisa n maswala ya kifedha.
Nimejaribu kutafuta taarifa kidogo nimekutana na ACCA, NBAA na wale wenye degree za accountancy kutoka kwenye vyuo vikuu vya hapa nyumbani.
Sasa...
Habari zenu wanajukwaa,
Leo alfajiri nimeamka nikashangaa puani yanatoka majimaji Kama vile nosebleed lakini badala ya damu yametoka maji hayana harufu Wala hakuna maumivu puani lakini kichwa ndio kinauma Sana upande wa kushoto hiyo Hali imetokea Mara tatu ndani ya masaa sita,ikabidi niende...
Hp Corei7
Ram 4gb
HDD 500
Charge 4hrs
Bei 480000/=
WhatsApp 0684190026
Ipo Mwanza.
Nimenunua mwaka Jana September.
Haina tatizo lolote nauza kwasababu siitumii tena
Edit: SOLD 🚫🚫🚫🚫
Karibuni wale wa Mwanza jumatatu kuanzia saa tano asubuhi nakata Belo la bwanga za design Kama hii kwa 6000 rejareja na 5000 ukichukua kuanzia 10.
Tupo kiloleli Mwanza ulipokua mnada zamani.
Tuwasiliane 0684190026
habari za mida wadau naomba kufahamu sehemu gani naweza kupata nguo za mtumba kwa wale wanaofungua mabelo hasa hasa nguo za watoto na mashuka Luna MTU kaniambia mlango mmoja lakini hawafungui kila Siku, kama kuna anayefahamu pale mlango mmoja lini wanakata mabelo naomba nipate taarifa tafadhali
Habari tafadhali naomba msaada kwa member wanaoishi mwanza wapi naweza kupata chanjo ya mtoto mchanga (Siku kumi) ile ya begani bugando hazikuepo siku amejifungua na kituo cha afya hapa karibu tumeambiwa mpaka tar 15 naona kama mbali sana
Naomba kufahamu hospital gani wanatoa chanjo ndani ya...
habari zenu wakuu ninaomba msaada kwa waliopo mwanza nahitaji volunteer kwenye kampuni yeyote iliyopo mwanza inayojihusha na mambo ya gis/remote sensing.niko vizuri katika kufanya image processing kwa software zifuatazo: ARC GIS, QGS, ERDAS na ILWiS.nitafurahi sana kama nitapata angalau hata...
Habari zenu kuna mtu anahitaji nyumba ya kupanga vyumba vitatu na sebule kuwe na maji bei yake isizidi 30000 per room maeneo ya kiloleli au igoma. .mwenye taarifa ani PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.