Yaani ndugu wa ukoo mmoja na ukakubali kuwa mtazini?? Loh! Watoto wa sikuhizi hamna adabu kweli yaani, jidhuru tu.
Sasa siku ukiwa baba halafu ukapata binti akawa mrembo Sana kwa hiyo utamtanani na yeye??? Maana hauna mipaka yaani unakosea halafu ukiambiwa unatishia kujiua?? Hauko sawa kiakili...
Wakati nipo chuo mwaka wa kwanza, Kuna siku nilipigiwa simu, namba mpya, alikua ni baba yangu mdogo ambae ndio wa mwisho kuzaliwa kwa kina baba, kipindi hicho kiumri alikua early 30's.
Akaniambia Mimi baba yako mdogo nipo Dar kikazi nimefikia hoteli Fulani nataka nikuone tusalimiane nimeambiwa...
Eti nimemlambisha ananambia chombezaa (chombeza)
Tena nikiizidisha ananambia kolezaa (koleza)
Nikitaka kusitisha ananambia ongezaa (ongeza)
Japo imethibitishwa ila itampoteeza a
Ikipanda ni bala (naogopa)
Ikishuka ndo hatari (naogopa)
Asije pata madhalaa (naogopa)
Akaikosa na hali (naogopa)...
Hata Mimi hiki kitu kinanishangaza Sana kwanini watu wengi wanatetea sana Gaza, Israeli hawakufa watoto? na wanawake?.
I mean Gaza kaanza kupiga Israeli akiwa amelala akaua watu wake,Ila Israeli alipoamua kujitetea ndio akawa kakosea?
Halafu watu wanaokomaa eti " pray for Gaza" mara sijui...
Sioni tatizo na status, lakini Kuna baadhi ya status huwa zinanikwaza.
1.Nakutumia message inbox halafu unascreenshot conversation unapost status, unanijibu tena.( Are you okay upstairs???)
2.unashare private moments zako ambazo kiuhalisia hatutakiwi kuziona isipokua watu wako wa karibu tu.(...
Pole mkuu, pressure mbaya Sana ilimsumbua Sana mzee wangu ilikua inafika hivyo 180,miguu inavimba, anahema harakaharaka mpaka tunaogopa, sema mzee wangu ni mbishi hakubali kushindwa kirahisi halafu Anajali Sana afya yake lakini ndo hivyo Tena umri ukisogea, alitumia dawa ya kienyeji mwaka jana...
Unaweza nenda kasome, acha kujiona kama hutaweza kwa sababu sijui umesoma procurement, hiyo sio sababu ya wewe kushindwa kujifunza kitu kipya.
Nakuongezea ukimaliza hiyo ya AXL kuna website inaitwa "data with danny" unaweza kutembelea ukalipia nadhani ni 40usd utajifunza data analysis kwa...
Nimesoma Ifunda Tech niliporeport kidato cha tano kuna jengo tulikuta kule kwenye mabweni ya wasichana limeungua, tukaambiwa lilikua nyumba ya matroni ambayo ilichomwa moto na wanafunzi baada ya kutokea vurugu ambacho chanzo chake kilikua dini( sina uhakika ni mwaka gani waliosoma ifunda Tech...
Mimi huwa nashangaa watu wanaohuzunika marehemu wao akikataliwa kufanyiwa ibada na hawa watumishi wa makanisani, kwanini mhuzunike??, hiyo ibada mnayofanya hapo haina impact yoyote kwa marehemu, umebaki mwili tu, yeye hayupo hapo tena ibada ya faida kwake mngemfanyia akiwa bado anavuta pumzi ya...
Hahahaa umenikumbusha shemeji yangu alimfuata mke wake kwenye sherehe hizi za usiku ya harusi.Akamfuata saa tatu, yaani bibi harusi anaingia ukumbini yeye ndo anamfuata mke wake amrudishe nyumbani, hapo ruhusa imeombwa mwezi mmoja kabla, nilicheka sana kuna wivu mwingine wa kijinga kweli.
Hii dunia,ukisema kila unayekosana nae au kutofautiana nae barabarani umkimbize mpaka umpate upigane nae si utawahi Sana kuchoka aisee, tujifunze anger management.Hasira ni hasara.
Yaani bora umesema maana wabongo wanapenda huu uongo, aliyewaambia wahindi wanaishia la saba sijui nani, story za vijiweni, wahindi wanasomesha watoto wao jamani Tena shule nzuri na vyuo vikuu wanaenda Tena nje ya nchi kabisa.Ila tukikaa vijiweni tunadanganyana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.