Search results

  1. E

    Elections 2010 Tanzania Bila Makamu wa Rais!

    Pointi 3 zako mzee. umenena hapo.
  2. E

    Elections 2010 Matokeo rasmi ubungo

    One down,(ubungo) two more to follow (Segerea na Kawe) Mungu akiwa upande wetu, nanai atatupinga?
  3. E

    Elections 2010 Matokeo rasmi ubungo

    Mnyika oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee katangazwa rasmi
  4. E

    Elections 2010 Matokeo rasmi ubungo

    Mpaka sasa anaongoza. Hakuna mpinzani.
  5. E

    Elections 2010 Matokeo rasmi ubungo

    ngoja ngoja. jamaa anaongea kwa pozi kweli kweli.lakini ushindi utakuwa wetu tu
  6. E

    Elections 2010 Matokeo rasmi ubungo

    Yanatangazwa live kupitia 98.0 wapo radio fm.
  7. E

    Elections 2010 Updates kutoka Royola every 10 minutes

    KIRAVU: "Tatizo kubwa ni mfumo wa kuweka zile taarifa kwenye kompyuta na kutuma makao makuu." Anaongea akiwa na uchovu wa safari ndefu alikotoka pamoja kugubikwa na usingizi. Sasa wanatumia vinakilishi vyao kuingiza taarifa zote kwenye server yao. Wananchi wapo hapo kwa zaidi ya saa 18...
  8. E

    Elections 2010 sheikh yahaya na shibuda

    hahaha. atakufa yeye, subirini mtaona. kazi yake kubwabwaja tu, shwain.
  9. E

    Elections 2010 Tumelinda na hawajachakachua

    Sasa tunaweza kuringa...
  10. E

    Elections 2010 Updates kutoka Royola every 10 minutes

    Taarifa toka kwa insider, zinripoti kuwa mkurugenzi Kiravu atakuwa hapo punde kuingilia kati na kuweka sawa hali tete hapo Loyola jimbo la ubungo. Kwa namna moja au nyingine, naamini hii italeta faraja kwa wanachi kwa kuwa in black and white they have to surrender kwa nguvu ya umma, na at last...
  11. E

    Elections 2010 Updates kutoka Royola every 10 minutes

    Thnx nimekusoma, kumbe ni haka kababu...
  12. E

    Elections 2010 Updates kutoka Royola every 10 minutes

    Hali ya watu ikoje? Still bado wapo wengi? Na Mheshimiwa wetu alikesha jana, hali yake ikoje sasa?
  13. E

    Elections 2010 Updates kutoka Royola every 10 minutes

    Ni Mrema yupi huyo, kijana wetu wa CHADEMA au ni huyu huyu kibaraka wa chama cha majambazi?
  14. E

    Elections 2010 OFFICIAL: Dr. Shein, Rais mpya wa Zanzibar 2010-2015

    Huko znz kimeeleweka tayari, Shein kapata 50.1% Maalim Seif 49.1% Mskie m/kiti asemavyo.
  15. E

    Elections 2010 Hai balaa

    mambo yakoje huko, mchana nilisikia tetesi kwamba Mbowe yuko nyuma kwa kura. Ni kweli, hebu niambieni wadau, Mjengo wa kwetu tu wazee.
  16. E

    Elections 2010 Chadema temeke chaliiii!!!

    Everyone knows CCM intumia nafasi yake kuwadanganya wenye elimu ya chini.
  17. E

    Elections 2010 Yanayojiri huko Shinyanga

    Naona Njombe bdo wanakua kua, n kama vile hawajielewi!
  18. E

    Elections 2010 Matokeo ya Uchaguzi Mkoa wa Dar-es-Salaam

    Nauona usomi wenu vijana! A good decision that you have made.
  19. E

    Elections 2010 Hapo TSJ (Kawe seat) so far matokeo ni hivi

    huyo jk kazipata wapi hizo? Nccr manunuzi chali. Mdee oyeee!
Back
Top Bottom