Unatakiwa kufahamu Gen soleman hakuwa akijificha au akiogopa kuwa marekani watamuuwa au usidhani aliingia Iraq kwa siri, Tazama hii pic alipiga na vikosi vya marekani mwaka 2015 wakati akiongoza operesheni ya kuwatoa ISIS HAO pembeni ni wanajeshi wa marekani, kwahiyo jamaa hakuwa akijificha...
Kama heading ilivyo nina eneo la kiwanda maeneo ya Kisarawe eneo lililoteuliwa kuwa la viwanda ,nina sqm 5000 ikiwa na document zote za serikali ,eneo lipo umbali wa km 8 kutokea kiluvya ,liko karibu na mradi wa SGR kuna nyumba ambayo sijaimalizia kujenga,
Nahitaji mtu aninunulie Bus ya abiri...
Hata kama ingepinduka kama gari kama unajua kuogelea lazima utajiokoa tu,mtu anaejua kuogelea ndani ya maji ni kama boya tu anaelea,kama hujui ndio unakuwa kama shilingi lazima uende chini tu
Hata mimi nimeshangaa sana,nimekulia kanda ya ziwa pembezoni mwa ziwa,nimeanza kuogelea nikiwa sijafika miaka 10 ,nimeshangaa sana kuona picha za vijana wa kiume tena vijana wadogo sana wamekufa maji,tena umezaliwa kisiwani hujui kuogelea,muogeleaji hata kama ingezama katikati ya ziwa huwezi...
Sheria ziko sahihi zinaeleweka,kama uamuzi wa kuondoa FTA zote hiyo TBc Imebaki kwa lipi? Hii ni siasa inatumika kuwalazimisha watumiaji wa local hawatakuwa na uchaguzi zaidi ya kutazama tbc tu,
Ukweli kuna wakati unafikia hapa duniani inakuwa kama hujawahi kuwepo, kila binadamu ni historia baada ya kuondoka kwake, Leo nimemkumbuka sana ndugu yangu member mwenzetu wa siku nyingi hapa JF Marehemu Mohamed Mtoi, ambae alifariki kwa ajali Akitokea kwenye kampeni,
Alikuwa msomi wa aina...
Kuishi kwenye ndoa ni kipaji sio kila mtu anacho, kwenye maisha ya ndoa kitu pekee kuwe na mapenzi toka Pande zote, hapo ndio utasikia uvumilivu, subra, lakini mapenzi yakikosekana Hakuna lolote, kama unampenda mtu utamvumilia kwa kila upungufu wake, kama humpendi hata akupeleke peponi...
Post yako inaashiria umri wako, zamani nilipokuwa na umri wa 22+ nilikuwa Nawaza kama wewe, nasema Haiwekazekani nikaja kutoka na mwanamke mwenye mtoto, leo niko 30+ ukiniletea kisichana kidogo na mwanamke aliyezaa basi ntachukua aliyezaa, raha ya utamu wa mapenzi iko juu ya miaka 30+ huko chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.