Huo ni UONGO ULIOTUKUKA na wivu wa hali ya juu. Ikifika saa nane Au Saa Saba usiku wanapunguza mziki na kuziba mlango wa kuingia.. Kwa watu wanaotoka hawaruhusu kurudi tena wala kuingiza mtu tena, wa ndani wa ndani wa nje wa nje. Tuachie Buckets yetu.
Ndugu Petro Inaonekana lile tukio la kuteuliwa kwa Profesa kwenda kuwa Waziri Katiba lilikuathiri sana. Maana tokea hapo unapigania Kweli uteuliwe na wewe Hata U DC kwa maandiko yako humu. Endelea kukomaa mkuu, wanakuona. Muda sio mrefu utaitwa. Nafasi zi wazi.
Mutanda
Nimekuelewa sana mkuu. Wanasiasa sio watu wa kuwaamini hata kidogo. Wanatufanya wanavyotaka kwa maslahi yao binafsi na familia zao. Ni muhimu sana kuangalia upande mwingine, nimefurahi umetoa Solution’s ya kuepukana Na hii taasisi iliyojaa watu wa ajabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.