Mkuu hii kauli ilitolewa kwasababu ilikuwa ni lazima upatanisho ufanyike kati ya mwanadamu na Mungu ni kwa wakati huo yesu mwana wa Mungu alitwishwa dhambi za ulimwengu wote abebe yeye ambaye hakuwahi fanya dhambi kabisa, ni kwa kitendo kile Mungu alidhihirisha kuwa yeye hafungamani na dhambi na...
Wenyewe huwa wanaimba kama noma na iwe noma, unadhani huwa wanamaanisha nini? That is what they want walishashindwa kote hii ni karats yao ya mwisho. Ingekuwa sivyo leo hii serif angekuwa rais Zanzibar
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu refer zile video Za vita ya uganda utajua chama cha Mapinduzi Na jeshi la wananchi wana ideology moja. "Zidumu fikra za mwenyekiti wa ccm" wanajibu zidumu. Hicho kizazi bado kipo sana kama unavyo ona. Ndo maana kule Zanzibar mliitwa kwa uchaguzi mliposhinda mkaambiwa hapana Mapinduzi...
Mkuu sayansi ya NASA ina uongo mwingi sana, mdau huyo aliyetoa mada hapo juu sio mawazo yake hizi ni tafiti Za independent scientists wenye mawazo ya kuhoji theories Za NASA, kuhusu dunia kuwa flat hii ni fact, isipokuwa mamlaka zinazo control huu ulimwengu haziwezi kubali haya, kwasababu ukweli...
Crime haina expire date, sometimes muhusika anaweza kuwa ame move on but ikigundulika lazima awajibike, huenda aliziba nafasi ya mtu mwingine ambaye kwa kukosa stahili yake haku recover hadi leo.
Mkuu tungeishi vizuri ikiwa tunge kuwA hatuna dhambi, in fact kifo kilikuja as punishment pia kama msamaha, imagine tungeishi ndani ya dhambi na uonevu, mgonjwa yasiyo tibika, vita na manyanyaso yote but you still there, it's painful, God knew at some point we need a break from this world of sin.
Hii habari Kama si porojo basi it's another big news wale jirani zetu wanaweza omba suluhu pale Mogadishu ili watuvamie sisi maana we are becoming threat kwa economy yao. Wadau inabidi magufuli aingie pale North Korea afanye shopping ya carrot chache Za kupigia jalamba na viazi vya rasharasha...
Sometime wanasema wanataka jenga mpya kumbe wanakarabati tu, but pia wanatoa habari Za kukanganya sana. Serikali ingekuwa inafuta kauli ya awali then watoe maelezo mapya. I'm sure prof mbarawa akija atatoa maelezo tofauti pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.