Hiv wangeachwa tu waaage then wakazike hUYO RPC angepungukiwa na nin? Mnazungmza mambo ya umaaruf wa kisiasa kwan kuna mtu asie ijua chadema leo hii? Mawazo ni mwanasiasa sasa msiba wake utakosaje kuwa na wanasiasa? Mtumie akili kidogo, sio kila kitu mnatanguliza ushabik tu au uandike na ww...
Hivi jf unayo orodha ya majangili humu ndani unatakiwa kuwashugulikia uwalipoti wakamatwe sisi tuliofiwa tulioumizwa tukiona mtu anaropoka tunatamani tumshughulikia
By Nambalapala
wanachokifanya chadema ni uhuni. mbona waliofariki pale olasit hawakupelekwa eneo la tukio kuagwa? mbona hawajashinikiza majeruhi watibiwe hapo hapo soweto?
WEWE NI MHUNI TU HUNA LOLOTE MJINGA WA MWISHO
sipendi na wala sitopenda kamwe kejeri za watawala wetu kuchunguza wakati kitu kio wazi .... Utaficha vyote katikachini ya jua lakini ukweli na mwanga katika giza hwaufichiki tutajua tu.... Hii ni kama mimba changa lakini itajulikana na mtoto atazaliwa tutajua baba yake ni nani????
Mungu...
KWA SIASA HIZI HAIWEZEKANI KUWA NA DEMOKRASIA UKISHINDWA HOJA KAJIPANGE SIYO KUMZURU ALIYEKUSHIDA
MAMBO YANAYOFANYIKA ARUSHA SI UTU WALA UTAWALA BORA
ANGALIA LINK HII
http://www.facebook.com/photo.php?fbid=10151515750158640&set=a.10150564089158640.386594.522648639&type=1&theater
UCHIMBAJI BADO LAKINI UTAFITI TUU UMEANZA KULETA MADHARA JIONEE MWANYEWE
https://www.facebook.com/photo.php?v=506627319385681&set=vb.100001152527713&type=2&theater
UCHIMBAJI WA URANIMU UTAKUJA KUWA JANGA LA KITAIFA WATCH THIS VIDEO
https://www.facebook.com/photo.php?v=506627319385681&set=vb.100001152527713&type=2&theater
jUST cOPY AND PASTE TO VIEW THE VIDEO LET US FIGHT TOGATHER DISTRIBUTE TO OTHER
Sijawahi Kuona Vitendo vya Kikatiri katika jamii kama Vinavyo fanyika bahi, Wametumia Madaktari Kupotosha madhara waliyopata wanakijiji wa Bahi Makulu kwa kuzulika baada ya watafiti wa madini ya Urani kuacha mashimo wazi yakiwa na kemikali iliyowazuru walimampunga 200 , wametumia madaktari...
Asante sana wakuu Kwanza napenda kuwahakikishia kuwa hii haina utalatibu kama wa networking nilizoziona na mlizo zitaja,
Hakuna suala la kufunga mwezi ukisha jiunga wewe ni kushawishi mtu mmoja au watu zaidi wanunue hiyo product. Mitandao mingine huwa inalazimisha ulete watu wawiliwawili ili...
Hiyo laki mbili n a nusu jiunge nayo Potion21 nakuhakikishia mwakani au baada ya miezi mitatu kwa bidii yako hutakuwa kama ulivyo nipingie kwa maelezo zaidi 0719672328 naitwa Lyamunda
What is Potion 21?
Potion 21 is a Malaysian Nutrihuang's product marketed online worldwide. Potion 21...
Hii kitu ni kweli nitafuteni
What is Potion 21?
Potion 21 is a Malaysian Nutrihuang's product marketed online worldwide. Potion 21 for treating 21 types of skin-based problems like diabetic wound ulcer. Watch the video below to see just how magical Potion 21 really is.
Generally...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.