Jamani mimi sikatai kuwa wanaume ni viongozi wa familia ,tatizo wengi ni wabinafsi saana na wanafanya maamuzi mabaya na yenye madhara kwa famia ,kwa mfano mimi niliolewa na mume tulieanza nae maisha kwa pamoja hatuna chochote baada ya kuchanganya mshahara wangu na wake tukafanya maendeleo mengi...
Ni kweli ,mapenzi haya ulikuwa hujayaona sababu kuu ni kuwa ulikuwa Mtoto ndio unakuwa sasa utayaona mengi, ukisikia unaambiwa kuwa uyaone, sio kuona magorofa yanayojengwa aaaa ni kuyaona mambo ya walimwengu.
Nilivumilia ndoa kupita maelezo nilipoona kuwa sasa naweza kufa hapa nilifungua mdomo na watu walinililia kwa huruma na niliamua kusema NO capital letter undeline na kwa kwli baada ya mapambano fulani hivi aliitoa talaka sasa nini amani nimepat mwingine na tunaishi kw usalama na watoto wapo...
Habari zenu wan jamvi
Jamani mimi ni muislam na kwa perspective ya uislam ,talaha ni halali ambayo allah /mungu anaichukia
Ni halali kwa sababu kuna wakati ndoa inakuwa ngumu saaaana na inaweza leta madhara makubwa kwa wana ndoa na watoto na hata vifo ,kwa nini ifikie hivi wakati ndoa ni...
Kwa kweli tungefuata maamrisho ya mungu tungefanikiwa lakini ni kinyume wanaume mmekuwa wakatili ,hamna huruma wala upendo kiasi cha kutufanya ss tuanze kuamua kujitegemea hasa kujiendeleza kielimu na kiuchumi maana manyanyaso yamezidiiiiiiiiiiiiiiiii na hayavumiliki
JmNI HAMUWEZI AMINI...
Ni kweli kabisa,hajakuwa vizuri hivyo hajaona mabo ya dunia wala kusikia habari za ndoa zinazovunjika,mara nyingine kuvunja ndoa ni bora na kuna faida saana kwa wanandoa wenyewe na watoto pia,angalia mazingira unayoishi mambo mengine hayavumiliki ,ina maana unataka ateseke maisha yake yoote...
Wanaume bwana HALAFU HUWA MNAJIFANYA WAJANJA NA WAJUAJI KUMBE KILA WAKATI MWAWAZA wnawake Kumbe ninyinni tegemezi saana kwa wanawake kwa upande wa kupozwa mioyo ,JAPO MUWASEMESHE WANAWAKE ndio muendelee na maisha . Hivi siku ikitokea dunia ikapigwa mstari na kuwekwa kizuizi wanwake kwao na...
Kwa nini mnafikiri ni stori tu? Jamani inapaswa mjue kuwa baadhi ya wapenzi kwenye mahusiano ni watesaji na wanyanyasaji wa wenzao mpaka inafikia hatua ambayo mtu mwingine akiiandika inaonekana kama mchezo wa kuigiza
Binafsi nakupa pole kaka na nimependa msimamo wako kwani inabidi kujiokoa...
Amedhulumiwa mali gani? na nani? hakuwa na mawakala wa kuthibitisha! Tatizo mlikuwa mkikampeni kewnye mtandao watanzania wengi vijijini wanaikubali CCM MSITUHARIBIE NCHI YETU:nono:
Nakushukuru kwa ushauri wako ,mungu atatusaidia na kutulinda na shari ya wote wasio na nia njema na nchi yetu nzuri TANZANIA .
Na kwa upande mwingine inabidi tusiilaumu sana tume kwani sifikirii kama wtu wa vijijini walipata kusikia hizi kampeni za kwenye mitandao ilhali wengine hawana hata sim...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.