Tundu Lissu keshakuwa mwanasiasa kwaio wanajua kumtolea uwakili sio dili maana inawezekana anapractise "rarely". Wanadhani Mwabukusi anakula kupitia uwakili kwaio wanataka kukata umeme.. Sasa wanaompenda Mwabukusi wampe kazi ya kisiasa basi watakuwa wamemfunga AG goli saba za mshindo
Mkuu ndio Academy of Sciences zilivyo.. Ili uwe Fellow lazima umri uende maana lazima uthibitishe unguli.. Hao ni Professors tuu aka Science Mentora. Vijana watajiumga kama Members wa kawaida sio viongozi kisha unapiga utafiti wa kutosha mpaka uwe Fellow.. Otherwise Vijana watakuwa wanapewa...
Hatuhitaji dictator bali tunahitaji mtu ambaye anaweza kuzifanya taasisi zetu ziwe na nguvu kuliko binadamu au individuals.
Taasisi ambazo zina nguvu kubwa kikatiba na zinaweza kusimamia katiba bila kuingiliwa na mkuu wa nchi.
Tunataka mtu atakayejenga hiyo misingi imara kwa ustawi wa jamii yetu.
Toa mfano wa mwaka ambao JK hakutangaza nyongeza ya mshahara? Acha kupotosha.
Bei ya vitu inapanda kutokana na supply and demand full stop.. Hayo yako hayapo kwenye kanuni za uchumi.
Wewe uwezo wa daktari unapima kwa kutumia nini? Una ufala flani hivi wa kujifanya unajua huku ni failure.. Wengine wanajua wanajua tuu mzee.
Mtu ambaye cheti chake hakina makarai hata moja huyo anajua tuu.. Kwa hapa Tanzania atakwamishwa na vifaa tuu ambayo huwa nadra kupatikana.. Lakini kama...
Wewe ni Juha kabisa. Vipanga wa Muhimbili na wale wa Pharmacy wamesoma mpaka ulaya na Marekani. Huko kote wametuheshimisha kwa ufaulu wa hali ya juu sana.. Wengine wamebaki huko wanategemewa sana.. Kuna ambao wamesoma mpaka Havard na wako pale.. Halafu wewe failure wa Form 4 unakuja hapa kuongea...
Acha ujinga ukidhani unakuwa mwelevu.. Scienrific Journal Papers ziko kibao mtandaoni.. Kuanzia Science journal mpaka Journal za wahindi na wachina.. Watabe waliosoma mashule ya ukweli wanaelewa vizuri wapi wanapata nyanga za kibabe. Nenda Google scholar, scimago, Web of science au Science...
Yaani wewe upewe ripoti? Mbona hujaulizia ya dawa zote walizonazo hospitali ambazo tunapewa na mabeberu? Achaga ujinga wewe... Wenzio wanasoma miaka 6 chuoni kuelewa hizo ripoti afu wewe unataka uelewe kwa dakika 5. Shenzi
Wangemuuliza kwanini kila chanjo yetu (TB, Pepopunda, tetanus, Surua, ndui etc.) imeletwa na mabeberu? Lini zamu yetu na sisi wa nchi za Joto kutengeneza yetu?
Wakati unajiunga na private company kama mteja au mfanyakazi unapewa terms and conditions.. Maana sio lazima uwe mteja wao.. Ukiviolate terms and conditions wao binafsi wanakaa wanakuvubua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.