Haya ni mawazo ya kutaka kutawala bila ya kuwa na check and control. Upinzani sio kazi yao kuimba mapambio ya kusifia watawala. Kama mnataka CHAMA kimoja ili mtawale milele fanyeni hivyo kwa kupiga
Marufuku kupitiia Bunge.
What a useless argument. Katika nchi hii wenye silaha na instruments of power ni Amina nani? Ni nani ambaye hataki kukosolewa hata pale ambapo amekosea?
Mkuu, umetoa utabiri ulio sahihi kabisa. Kwa siasa za kimafia wako tayari kumpitisha kibaraka wao ili azidi kulivuruga na kulikata makucha Bunge la Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.
Ukweli ni kwamba Ndugai na Serikali hawakutaka kabisa TL ahudumiwe na pesa za serikali ingawa ni halali yake kama Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. This is double standard of the highest order. Mola awape moyo wa kuthamini uhai wa mtu.
Usiongee na kutoa hitimisho bila ya tafiti ya kisayansi. Mwambieni mtawala aruhusu mikutano ya CDM baadae rudi uje usimlie vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii over-generalisation. Kwanza ni vizuri kujua nini chimbuko la safari ya mifugo hiyo kutoka Lindi kwenda Morogoro. Pili, jifunze umuhimu wa mifugo hususani ng'ombe katika Jamii za kifugaji kama Wasukuma, Wamasai nk. Usipojua hilo basi uchambuzi wako utakuwa na walakini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.