habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa mbunge wa sumbawanga mjini Aeshy Hilaly Halphany amevuliwa ubunge. Natumaini sasa demokrasia itachukua nafasi yake.
Millya kama watanzania wengine anayohaki ya kuchagua chama anachoona kitamfaa. Inawezekana kweli alikuwa au ni mfuasi mtiifu wa Bw Lowassa lakini amejitafakari akagundua njia anayofuata si sahihi. Pia anaweza akawa bado anatumika na huyo jamaa. Hatutakuwa wanademokrasia wa kweli kama tutahoji...
Pole kwa kuwa na mawazo finyu..endelea kuamini hivyo na uendelee kufanya ujinga wako kwa kuamini kuwa nguvu za watu huwa zinazikwa!! pole we:A S-alert1:
you are junior in the site as well as your thinking....think of your family and relatives in your village. Wewe ndiyo mwenye agenda ya siri na JK kwa kumpa sifa asizostahili:A S-rap:
Kwa pumba hizi huwezi kuwa ulichagua mabadiliko kwa sababu mabadiliko yanaletwa na wanaharakati ambao daima wanatafuta njia ya kufikisha ujumbe kwa wahusika ili kuhamasisha mabadiliko. rudi home ukasome katiba inasemaje...stop that bunch of nosenses!
Ni ngumu sana kuzungumzia udini kama huna harufu ya udini..amejuaje kuwa kuna udini kama hajafikiri tofauti za dini za watanzania na kupima ushiriki wao kwenye masuala mbalimbali? mi ninavyojua anayekemea kitu lazima kimetoka na kipo moyoni mwake. hivyo basi kikwete na chama chake ni mdini tena...
Hakuna la kushangaza kwa hili toka kwa Chiligati kwani ndo walewale vihiyo wa sheria. ila ukihiyo wao unachangiwa sana na kuchanganyikiwa na kunusa harufu ya kupoteza nafasi yao ya hatamu ya nchi..huyo anaweza kuitwa LAP SOKWE. ongeza pale kwenye lap dog, lap kenge list ni kubwa zingatia boguses...
Mi nafikiri hakuna haja ya kujadili hotuba zilizojaa fikra za kifisadi..hotuba zote ni ahadi tu..badala ya mikakati ya kufikia maendeleo. Nakama anazungumzia mikakati basi atakwambia ameomba/ataomba marekani,china na wengine wampatie hiki mara kile. mi naona hatuna rais bali "a chain for black...
Mimi ni mmoja wa wafuasi wa kupigania haki za wanyonge na kupambana na ufisadi Tanzania.>nilifurahishwa sana na Bunge lililopita na jinsi lilivyoendeshwa. Lakini kinachonikwaza mpaka leo ni namna michakato yote ya mijadala ilivyoisha. Hakuna suluhisho hata moja lililofikiwa ili kuokoa rasilimali...
Namkumbuka Nyerere alishasema Wapinzani wa kweli watatoka ccm! Enyi ccm nani kawaroga? nani kawambia hao viongozi wenu wanawahujumu? tumieni akili kidogo kugundua kuwa hata baadhi ya viongozi wenu wamegundua kuwa ni wakati muafaka wa kuangalia mustakabali wa taifa na siyo chama tena! Fungueni...
Matamshi ya kiongozi wetu Dr Slaa yanawakilisha mawazo na misimamo ya watanzania waliowengi ambao wamechoshwa na maovu ya JK na Chama chake. Hivyo ni vema kumuunga mkono kwa kupinga kwa nguvu zote na bila kuficha yote maovu yaliyofanyika katika uchaguzi hadi kupelekea kumpata raisi!! Siyo vema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.