Hivi ni vichwa vya ukurasa wa mbele wa Mwana Halisi jumatano ya wiki hii.Chadema kufuta kinga ya Mkapa, Kanumba kanumba,Maji ya dawasco hatari, Shilingi bilioni 300 kufukia migodi chambua mwenyewe
Ah wapi kanumba alikua maarufu kama mwigizaji tu. Hakua na jipya kwa Taifa hili. Yale matangazo uliyoyaona ni mediaa zetu hupenda habari za burebure wakatio BBC wanaripoti watoto lukuki wa mitaani na ajira kwa watoto wao wamekaa kusubiri habari zisizokua na tija kwa taifa hili! JF waliposema...
Zomba umeandika vitu vya maana sana kwa Lulu. Huo si ushauri tu bali ni tiba ya tabia kwa LuLu na wengine hiyo ndo maana ya hilo vazi wanaoenda kinyume wanamatatizo lakini Ujumbe huu ni haswa. Nashauri mtumi sms. Imetulia hiyo Comrade
Kwangu mimi Kanumba anastahili adhabu tena adhabu ya kumrubuni mtoto mdogo kama yule,watU wengi wanamuona kanumba ni inocent tena wengine ni wanawake wazima na akili zao wameshindwa kumuhurumia binti huyui ambae kutokana na umaarufu wa kanumba umesababisha huyu mtoto awe maabusu sasa, kutokana...
Huyu jamaa huwa anajianda kabla na hii ndo inavyotakiwa sio unakurupuka tu unakaa kwenye TV ilihali huna uelkewa mpana wa mada iliyopo mezani. Big up mnyarukolo
Kwani umesikia atashtakiwa? Hawa wapenzi bwana hata Lulu anauchungu mumewe kafa. Kosa lake lipi Marehemu ndo mwenye kosa kwanini unyang'anye cm ya mpenzi wako tena c mkeo wa ndoa. Lulu hakua na tofauti na machangu wengine ukimaliza biashara unaenda kwingine. So what.
Serikari itoe tamko juu ya Idara ya ukaguzi wa shule bado inaihitaji au haiitaji kwa maendeleo ya Elimu nchini.Idara hii iliyoanzishwa kisheria inapuuzwa na aithaminiwi.
Hao CUF njaa tupu utafanyaje makubaliano na mpinzani wako ktk siasa wamejiua wenyewe si unaona. Hakuna urafiki kati ya Masikini na Tajiri au Bemki na Maskini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.