Inaweza ikawa Israeli imekosea au ni moja ya mpango wake mkubwa ambao nyuma ya pazia unasapotiwa na USA. Israeli inataka Gaza usiwe na jeshi, pia wanaamini Judea na Samaria(West Bank) ni haki yao. Iran inatengeneza nuclea na kama ilivyokua Syria na Iraq marekani haikufanya ki2 zaid ya kuongea...
Hujaelewa kitu, hii ni pitch yake, wewe unaweka kumake your offer na yeye akaangalia kwa upande wake mkakubalina...nadhani ameacha room for direct contact...sio poa kuanza kushambulia tu akati unajua haiwezekani kuandika kila kitu kwenye post moja, go inbox. All in all best pitch ever...
Best pitch[emoji115]. Kila kitu kitabadilika kwenye career yako maana unajua jinsi ya kufanya pitch. Keep up...Mungu akijalia mwezi wa 7 nitakua DM yako tuyajenge
Mwenye amri ya mwisho ya kumruhusu mgonjwa ni daktari hata raisi hana mamlaka hayo, angeruhusiwa kwa amri ya CDF leo ingesemekana yeye ndio alimtoa kwenye matibabu ili afe. Nchi nyingine usalama wa Taifa ndio panga safari za raisi na raisi hana amri, wakimwambia hamna kutoka nje wiki raisi...
Nasoma watu wanasema ujasiriamali unahitaji mtaji mkubwa ambacho sio sahihi hata kidgo. Ili ufanikiwe inatakiwa uweke pesa ndogo sana ukiona response ya soko ni nzuri ndio unaongeza...tolea mfano labda mikate, tengeneza mkate mmoja kwaa kutumia sufiria, fanya mbwembwe zako uwe tofauti na ubora...
Wewe mchango wako kwenye mafanikio yake ni upi hasa? Unajua mara nyingi sana unaweza ukafikiria una mchango kwa mtu lakin sio kweli ni imagination zako na simtetei huyo mwanaume labda ni mtu mmbaya kweli ila most likely hajafanikiwa because of you inawezekana amefanikiwa inspite of you...
Yeah, ni kama biashara ya real estate, ukiwa na biashara ya sheli au mafuta unakua na dhamana kubwa sana. Unaweza ukaanzisha sheli ukachukua mkopo mkubwa ambao unaweza kujenga sheli zingine na dhamana inabak kuwa ile sheli
Ukristo sio dini ya kizungu kaka, Imetokea masharikj ya kati kama wewe ni muislam unajua hilo na kama wewe ni mwana historia utajua Ukristo Umeingia Ethopia Afrika kabla ya kuingia kwa mzungu. Ninaamini ndugu zangu wengi wa kiislamu wameanza kupotoshwa kuhusu Ukristo ni nini na historia yake na...
Habari, vitu unatakavyofundisha ni vitu vinavyoweza kusaidia sana vijana kupata pesa ila,
Kwanza naamini hapo umefanya content marketing kwa lengo la kutangaza kozi utakayotoa na hiyo kozi inaweza ikawa ina uwezo wa kukupa pesa zaidi ya hicho unachokifundisha kinavyokulipa ukikifanya, hiyo sio...
Habari, yeah unaweza ukaalipia kutangaza online ila inabidi niwe mkweli kwako, kama bidhaa unayoiuza ukiiweka barabarani hakuna mtu anatekuja kuulizia hata mtandaoni itakua hvyo hvyo...
Angalia kwanza bidhaa unayouza, bei, muonekano na wengine wanaouza wanafanyaje...baada ya hapo ukiona ni...
Ni kweli kaka unachosema kwa sababu kuna watu wanatumia pesa hovyo inayosababisha wanaingia kwenye matatizo.
Napishana kidogo na wewe kwenye ishu ya saving kwa baadhi ya watu fulani na ninakubaliana na wewe kwa baadhi ya watu.
Naamini zaidi kwenye kuinvest. Kuinvest nayo ni risk lakin ukiwa...
Inategemea sana na investment unayofanya, kama unafuga kuku, au unalima au duka la nguo, vipodozi nk, ninaweza kukuelewa kama utafanya biashara kabla ya ndinga. Kama wewe ni hustler mwanasheria, au Software Engineer sijui IT baada ya kuzunguka sana na project zako utakuja kugundua waTz...
Acha kusoma sana propaganda, au ukiwa unasoma soma pia na upande wa pili wa hoja ndo utoe maamuzi...Israel itamaliza vita muda imejiridhisha, na nchi zote zitatengeneza mahusiano nao...hiyo ndio given
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.