naye mpuuzi tu ameona ndo sehemu ya kutafutia sifa kwenye vifo vya watu.kweli chadema inafanya siasa za maji taka huwezi kujitafutia kwenye mauaji kama hayo,watu wanahuzunikawamepoteza ndugu zao wewe unatengeneza cd,wawaone tena wanapigwa sisasi si wataanza upya kilio.
hujui demokrasia uchaguzi wa rwanda uliuona wewe? Wapinzani waliambiwa wameungana makundi ya wapiganaji yaliyoko kongo, wapinzani waligaili uchaguzi. Kagame alifanya uchaguzi kama kawaida na alikuwa peke yake,mmoja aliyekuwa anakubalika kama slaa aliwekwa rumande mpaka sasa hivi yuko ndani je...
mtoa mada na wachangiaji wote zero,mnaifanya jf kama gazeti la udaku,kazi ni kusifia ya watu tu nyie mumefanya kitu gani cha maana? Wewe unataka ccm wasiandamane unamanisha katiba inamuruhusu cdm tu kuandamana? Au hujui kuandamana ni haki ya kiraia.yaani we unataka nchi ya kulipiza visasi? Kweli...
nataka wazalendo tuijenge nchi yetu tunaotakia mema, watanzania wengi wamekuwa wakitaka mpaka tanzania ife ndo wajenge. Naomba wazalendo tujenge nchi kwa kutoa ushauri unaojenga nchi kwa huduma bora na salama.visit here. www.wananchi.co.tz
kwa njisi ilivyo binafisi nilipendelea serikali ya umoja wa kitaifa ambayo: chama kitakacho pata wabunge wengi kinaunda baraza la mawaziri,waziri mkuu atoke kwenye chama cha kikuu cha upinzani ili asimamie kwa ufasaha baraza la maziri, kuwe na mkuu wa mkoa lakini asiwepo mkulugenzi wa...
kumekuwa na ongezeko la watu wanaona suport maandamano inchini. Binafisi sijui kama maandanamo wanayofikiri yakoje. Cjui wanamanisha maandamano kama ya libya? Nijuovyo maandamano ni mapinduzi ya uongozi.je ni sawa kuwa na mapiduzi ya namna hiyo sasa? Je hayo maandamano hayawezi kutuludisha...
msione kirahisi namna hiyo. Maandamano ni kitu kingine kabisa. Kwa sababu mtakuwa mmejunja katiba ya inchi kwahiyo mkiona wanajeshi wanawafyatulia risasi muone kawaida. Kuigeza inchi tz kuwa kama somalia,kwa sababu mnaweza kuongeza shida zaidi ya tulizonazo,tuanze maandamano halafu gala la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.