Hatumfahamu na ana umuhimu gani kwetu. Zungumzia watu waogusa maisha yetu siyo mapoyoyo matapeli. Mtu wa kwanza kwetu ni Samia Suluhu Hassan na wengine wanajulikana. Matapeli km Mwamposa, Gio Davie, Mzee wa Upako, Kakobe, Gwajima anaewafuatilia ni mazombie wenzie
We ni zombie, nchi hii mkuu wa majeshi ameondolewa, IGP ameondolewa, mkuu wa TISS, katibu mkuu kiongozi aliondoķa km jambazi, Makonda ni takataka gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.