Yahaya,
Msijaribu kuwa neutral bali mnalazimika kuwa neutral no matter nyinyi ni wapenzi wa chama gani kwa muda mrefu mmekuwa mkijiharibia mbele ya macho ya watanzania kwa mfano wakati mko karibu na ILEMELA Mlishindwa kabisa kuonyesha hatua kwa hatua zoezi la uchaguzi lilivyokuwa linaendelea...
Wapwa zangu wa zanzibar na mahali pengine tz mimi mjomba wenu natafuta video camera mtumba aina ya sonny 3ccd pd170 pamoja na accessories zake.natanguliza shukrani!
Akina kingoba na mhariri wao walisha acha kanuni za habari tangu enzi zile walipoamua kudhalilisha miili yao(habari) na roho zao (maadili) kwa ajili tu ya vijisenti.wana jamvi njaa mbaya.tuyasusie magazeti yao
Mtembezi katika tembea tembea yangu kama ilvyo ada nimefanikiwa kunusa KIGOGO mmoja aliyekaribu na IKULU anadai jina la waziri mkuu mpya ni SHAMSI VUAI NAHODHA wana jamvi mpo?
NANI ATAFANYA MDAHALO WAKATI CUF WAMEFUNGA NDOA NA CCM UNATEGEMEA KITU GANI?
CHADEMA WALIKUWA NA HAKI YA KUTOWASHIKISHA CUF KWENYE KAMBI YA UPIZANI.
:peace::peace::peace::peace::peace::peace::peace:
yeyote akipewa uwaziri katika nafasi yoyote kwanza sitashangaa pili sitafurahi bali naweza kusikitika tu kuwa nchi inazidi kutokomea kunakojulikana kwenye maafa sababu kuu ni kuwa utendaji wa wa baraza la mawaziri unafahamika ni mafia style/system hakuna anayeruhusiwa kutoka nje ya...
Nikiri mapema kuwa mimi binafsi ni shabiki wa jenerali ulimwengu.Ulimwengu ni role model wangu.Ile makala katika gazeti la RAIA MWEMA ni kweli iliwahi kutolewa mara tu baada ya JK kupata "ridhaa" ya kutawala.hapa niseme mambo mawili ambayo huenda yakasaidia kumwelewa jenerali
Mosi,Nikuwa...
Ni vituko vilivyojitokeza katika moja ya vituo vya kupigia kura eneo la kituo cha fire, eneo lililozungukwa na kambi ya polisi dr. Slaa alishinda kwa 80%.
Na wengine waliopangiwa kusimamia vituo vya uchaguzi wakisononeshwa na ushindi wa jk.
Hii inadhilishwa na mapinduzi ya ufaransa ambayo...
Jamani wadau wa jf msiwe wepesi kusahau , kuanguka kwa jimbo la nyamagana hiyo ina maana kuanguka kwa injinia wa dili kubwa kuliko zote ambalo lingempatia jk na masha pesa kubwa ambayo hawajawahi kupata katika dili zote walizowahi kupiga nayo ni dili ya vitambulisho vya taifa ambayo masha...
Kiburi na majigambo havijawasaidia,wadau waliwaonya sana masikio pamba waliyatia wakawatuhumu wapinzani sasa wao na jeshi lao ndio wanapalilia vita.wana jf tujadili hili je ccm inafia mikononi mwa kikwete?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.