Nimeona wakiutangaza huu mfuko katika kituo cha ITV na wanadai kuwa unapata mahela mengi fasta ndani ya kipindi kifupi sana.
Binafsi sioni tofauti yake na deci iliyowatapeli watu na kutokomea kusikojulikana huku kesi iliyofunguliwa pale Kisutu ikiwa imetoweka kiaina.
Kwa wanaofahamu zaidi...
naomba tafadhali mwenye taarifa sahihi kuhus kesi inayomkabili yule kijana wa kikenya aitwaye joshua atueleze kama kesi yake nayio ni ya kigaidi kama hii inayomkabili nlwakatare.
ni bahati mbaya lakini imeshatokea kuwa tume ya katiba kwa kujua au kutojua inawahujumu wakatoliki kwa kuweka siku z kupigia kura ya kuwateua wajumbe wa mabaraza ya katiba ya wilaya katika siku ambazo wakristo hususani wakatoliki huudhuria ibada za awali kuelekea pasaka yaani alhamisi kuu(karamu...
Nashindwa kuelewa weledi wa jeshi letu la polisi pale waliponyamaza kimya bila kumchukulia hatua yeyote sheikh Ilunga baada ya kutoa video yenye kujaa chuki na uchochezi wa wazi dhidi ya wakatoliki.
Katika video ile sheikh Ilunga bila kumumunya maneno aliwataka waislamu kuwaua wakristo hasa...
Kwa mujibu wa afisa mtendaji mkuu wa New Habari ambao ndio waajiri wa Kibanda ndugu Hussein Bashe, yupo mwanasiasa aliyetangaza vita ya wazi na waandishi wa habari kwa kuwa eti ni kikwazo kwa mipango yake ya kuwania urais 2015.
Bashe hakumtaja huyo mwanasiasa ila naamini kati ya wana jamvi wote...
Ilitabiriwa na wengi kuwa baada ya kelele na matusi ya muda mfupi dhidi ya viongozi wakuu wa CHADEMA taifa vijana wasaliti jJiana Shonza na mMtela Mwampamba watatulia tulii kwa kukosa hoja yoyote ya maana ya kuwaeleza watanzania waiochoka propaganda.
Leo hii sote tuu mashahidi wa hili ambapo...
huyu ni yule binti aliyeimba nyimbo inaitwa mr politician na baada ya hapo akahamia cdm.muda haukupita sijui alipewa nini na nani kidogo tukasikia akihamia ccm wakati huko cdm walishamwandalia ubunge wa viti maalumu ili kuleta mwamko wa vijana kushiriki siasa ndani ya cdm.ni bahati mbaya kuwa...
Ni muda sasa umepita tangu Dr. Ulimboka aliporejea tena nchini akitokea katika matibabu na kupokelewa kifalmwe na madaktari wenzie.Katika vitu ambavyo watanzania na madaktari wenzie walitarajia kusikia kutoka kwake ni juu ya wale waliomteka na kumtesa kwani alidai mwenyewe kuwa anawajua na...
Ni wazi kuwa hakuna jinsi nyingine isipokuwa kwenda kwenye uchaguzi mdogo ili wanachi wa sumbawanga mjini waweze kupata mwakilisshi bungeni kwa kipindi kilichobaki kabnla ya 2015.ni wazi zaidi kuwa hakuna nanma nyingine yeyote ya kisheria ya kuahirisha suala hili kwa muda achilia mbali...
Muda umepita sasa tangu jimbo la sumbawanga kuwa wazi baada ya mbunge aliyekuwepo kuenguiliwa na mahakama kwa madai ya kukiuka taratibu na kanuni za uchaguzi.tulitegemea ccm wangekata rufaa lakini rufaa yao ilitupwa na mahakam ya rufaa jambo linaloashria kuwa uchaguzi mdogo ni lazima uitishwe,ni...
Tangu kuanzishwa kwa vyamna hivi sijawahi kuona kipi hasa wanachokifanya kama harakati za kisiasa zaidi ya kusikia viongozi wanatimuana na kugawiana madaraka kama njugu.kama kuna mwenye taarifa sdahihi kuhusu vyama hivi tafadhali atujuze kwasababu hivi vyama vya mifukoni huibukaga kwenye chaguzi...
Ni jambo la kushangaza kidogo nilipoona kuwa kikwete alizunguka nchi nzima na hata mkoa wa kigoma lakini hakuingia jimbo la kigoma kaskazini kufanya kampeni za kuomba kura na kuwanadi wagombea wengine wa ccm jimboni hmio.kikwete aliingia karatu mara mbili huku akijua kuwa hawezi kuambulia kitu...
Jana palisambazwa vipeperushi vingi vikiwahimiza waislamu katika mikoa kadhaa kujitokeza kuandamana leo ili kushinikiza sheikh ponda apewe dhamana.viongozi wa serikali waliyapiga marufuku na kuyalaani vikali huku uongozi wa jumuiya za kiislamu ukisisitiza kuwa yapo palepale sasa sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.