Search results

  1. Se-ronga

    Plot4Sale Nauza shamba Morogoro

    Mahali:Dakawa,km 7 kutoka barabara kuu ya Morogoro Dodoma Ukubwa wa shamba ni heka 20 Shamba lipo pembezoni mwa mto Wami ambao unatiririsha maji mwaka mzima,hivyo linakupa option ya kulima mwaka mzima Umbali wa shamba kutoka mtoni ni around mita 350 Shamba limepimwa na lina hati ya kimila...
  2. Se-ronga

    VYETI FEKI: Kama ni wewe,ndugu,rafiki,boss au mtumishi mwenza pita hapa tufarijiane/kupeana ushauri

    Heri ya Mei Mosi 2017.! Wakuu hili sakata la uhakiki limeondoka na ex-boss wangu.Kiukweli nilivyoona jina lake nimesikitika sana kwa sababu ana miaka zaidi ya 25 kwenye utumishi wa Umma na alikuwa amebakiza miaka kama 6 kustaafu kwa lazima Baada ya kuona jina lake kwenye ile orodha kesho yake...
  3. Se-ronga

    Hili la Ethiopia kupitishia mizigo yake bandari ya Dar es salaam limekaaje?

    Nawasalimu wana JF.! Nchi yetu imeendelea kupokea ugeni wa viongozi toka mataifa jirani na hata nje ys bara letu la Afrika,wengi wa waliofika wameonyesha nia thabiti ya kujenga/ kuendeleza uhusiano na ushirikiano mzuri na nchi yetu hasa kwa suala zima biashara na uchumi Juzi tumepokea ugeni...
  4. Se-ronga

    Dodoma Vs Nakuru

    Wakuu hongereni na pilika za ujenzi wa Taifa Baada ya Jiji la Mwanza kuipa Nakuru kichapo cha mbwa mwizi nafikiri sasa ni muda wa Nakuru kutafuta angalau droo kwa jiji tarajiwa la Dodoma,makao makuu ya Chama na Serikali Natupia picha chache za Dom,wazee wa Nax mukuje
  5. Se-ronga

    TFF WANATAKA KUMHUJUMU SAMATTA,by Malisa GJ

    Hii nchi kuna watu wanapaswa kufungwa au kupewa adhabu kali iwe fundisho. Miongoni mwao ni Rais wa TFF Jamal Malinzi na safu yake ya uongozi. Ningekua na mamlaka Malinzi leo angelala "Keko au Segerea".. Mbwana Sammata ameleta HESHIMA KUBWA sana Tanzania ambayo viongozi wa kisiasa wameshindwa...
  6. Se-ronga

    Ziara ya kwanza ya Rais Magufuli nje ya nchi yaweza kuwa hapa...

    Wakubwa kwa wadogo hongereni kwa majukumu ya kulijenga Taifa letu yenye kauli mbiu ya "hapa kazi" Kama mjuavyo Kiongozi wetu mkuu wa nchi Mh.JPM tangu aingie Ikulu mwishoni mwa mwaka jana bado hado hajafanya ziara rasmi nje ya nchi. Na hii inawezekana ni kutokana na majukumu mazito ya Kitaifa...
  7. Se-ronga

    Idadi kubwa ya watangaza nia ya urais kiashirio cha tatizo la ajira Tanzania

    Hili ni tatizo la ajira kwa nafasi husika. Yaani nafasi moja lakini maombi zaidi ya 20 tena kwa gharama kubwa? Nafasi hii inaonekana kwa sasa ndiyo inayolipa zaidi kwa Tanzania ndo maana waombaji wanatumia mabilioni ya pesa kuhakikisha wanafanikiwa. Kama mtu anadiriki kutumia karibu bilioni...
Back
Top Bottom