Kwa kweli ni ngumu,,,na huo ugumu ndio unasababisha malipo yao kuwa mazuri
Mfano,hii case ya Robertinho kuvunjiwa mkataba atakuwa amevuta mkwanja wa maana,,na ndani ya miezi michache tu atakuwa ameshapata timu nyingine
All in all,, wenyewe wanasema " Coaches are hired to be fired"
Duuh,,maelezo mazuri,,japo hujaweka wazi ni namna gani hao Mayahudi walivyokuwa wanahatarisha usalama wa nchi za Ulaya
Anyway,ntasikiliza hayo mahojiano
Kweli Binadamu tumeumbwa kusahau.Hivi unakumbuka Simba alivyokuwa anasifiwa enzi za Simba ya Luis na Chama,,enzi zile za Yanga ya Zahera na bakuli?.Sasa kama umesahau,,ndo ujue kibao kimegeuka,,tena ni huyu huyu Mpenja aliyekuwa anawamwagia sifa Simba.Alifanya hivyo kwa sababu ya ubora wa kikosi...
Mpira hauko hivyo,kufika robo fainali ya CAF haitoi guarantee ya kuwafunga ambao hawakufika level hiyo,,kumbuka Simba msimu uliopita alifungwa na Prison ambaye sina hakika kama ameshawahi kushiriki kwenye michuano ya CAF
Kwenye mechi za Derby za Yanga na Simba,,Chama huwa anapotea,,ukiacha ile ya FA ambayo Simba alishinda 4-1 baada ya baadhi ya Wachezaji wa Yanga kufanya hujuma,,otherwise jamaa siku zote mechi za Derby kwake huwa ngumu !
Wakuu nina plan ya kununua PARTY BOX kwa ajili ya kuwa nafanyia outdoors functions kwenye eneo la wazi linaloweza kubeba watu 80-100
Kwa research ndogp nliyofanya brand ninazozipa kipaumbele ni JBL,SONY NA PANASONIC
Je kwa bajeti ya Tzs.1,200,000/ ni party box ipi inaweza nifaa kati ya hizo...
Pamoja na Wachezaji wengi wa Al Ahly kuwa kwenye Afcon bado jamaa ameendelea kusugua benchi,,basi ni bora arudi tu kwenye ligi ya Wavulana kama mwenzake maana huko kwa Wanaume hapawezi
Hivi kuna uhusiano wowote kati ya uchawi na ufukara/umaskini??
Na suala kuiba kwa sheria za uchawi limekaaje.Kwa mfano kama mchawi anaweza kuingia kwa mtu tajiri usiku huku mageti na milango ikiwa imefungwa,,anashindwaje kufungua begi au kabati achukue hela,,au hata achukue ATM abaini nywira...
Inawezekana kabisa mkuu,,hizi siasa za Afrika zina mambo mengi,,unaweza kuta hao wakubwa wanafahamu jamaa alipo na tena yupo huko kwa maelekezo yao afu wanatuzuga tu..!
Kwa nafasi ya Moloko na Ntibazonkiza yupo Nkane na Ambundo na hata Ngushi ana uwezo wa kucheza akitokea pembeni,hapo kwa Mwamnyeto kweli ni muhimu apate beki mwingine mkali wa kumpa ushindani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.