Pesa kuzidi ipo lakini siiweki kwenye hesabu za mtaji maana najua huwa inakua miamala ilokosewa na wateja wengine kutoa inaingia kwangu baada ya siku mbili tatu unakuta haipo imerud amount ileile ya mtaji wako
Ninapoweka flot kwa mawakala wakuu huwa naangalia kiasi kilichoingia na pesa niliyompatia wakala mkuu au bank huwa kipo sawa ..sasa sijui kama kutakua na mbinu mpya
Kutenganisha pesa za mpesa na za bank sijafanya hilojambo zote zipo pamoja sababu ni biashara yaaina moja .alafu matumizi na Pesa ikitoka hata kwa mtu atakayelipa badae huwa naweka record katika kitabu chake napia watu wa kukopa na kulipa badae huwa inatokea Mara chache sana tena sana
Sijarelax dear... naweza nikawaza hivyo naikawa tofauti huwezi muhukumu mtu tu .ndio maana nimeomba ushauri na nitafatilia huu ushauri ninaopata na bado ikawa hvyo basi ninahaki kumuhukumu nayeye pia
Nafikiria kuhusu kuandika amount labda itakuwa kunamakosa yanatendeka hapo..napia kuhusu malipo nampa vizuri ..swala lakufanya biashara ndogo ndogo sijaona kama anafikiria hilo jambo...asante kwa ushauri
[emoji3][emoji3][emoji3] jamaa kiboko..maadam hakula hiyo nyama haina shida
..unajua inaumiza kufanya biashara kwa umakini lakini bado mambo yanaenda mrama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.