Search results

  1. Lord denning

    Hebu Nendeni mkajifunze kwao hao mnaoita marafiki zenu wachina kuhusu kuendesha mashirika ya umma wao mbona kidunia ni makubwa sana

    Sie ni mahiri katika kuiga mambo ambayo tukiyachukua tunayepeleka bora liende tu bila kujali ufanisi
  2. Lord denning

    Kwa miaka 8 tumetumia Trilioni 27 kwenye SGR na ATCL tu. Hii nchi umaskini tunajitakia wenyewe kuwa na vipaumbele vya ovyo

    Hakuna kipaumbele cha hovyo kama kulazimisha Taasisi zote za Serikali kujenga majengo mapya Dodoma. Hela zinazomwagwa pale ndo mana waafrika tunaonekana hatuna akili. Kama Serikali inaamia Dodoma ilitakiwa Wizara tu ndo zijengwe Dodoma ila kulazimisha taasisi zote kujenga Dodoma ni wehu...
  3. Lord denning

    Dkt. Ndugulile: Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na dosari ambayo hatuwezi kuificha, siungi Mkono kupita bila kupingwa

    Kwa hiyo unathibitisha kuwa uchaguzi ulikuwa na dosari?? Kuna tofauti gani kati ya alichokisema na ulichosema?
  4. Lord denning

    Wakili Mwita kaandika utaratibu wa kikatiba unaotakiwa kufuatwa pale Rais akiugua kimwili au kiakili

    Endapo wanasiasa wa nchi hii wangeiheshimu, kuitii na kuiogopa hii Katiba tuliyonayo. Nchi hii ingekuwa mbali sana kimaendeleo na kiustaarabu
  5. Lord denning

    Tatizo la Tanzania halikuwa ujamaa wala vita vya Kagera bali ombwe la uongozi

    N Nimependa ulivyomaliza. Huwezi kuwapa nguvu wanasiasa kuliko wataalam alafu ukabaki salama. Shida ya hii nchi ni wanasiasa na tutakabyoweza kuwabana ndo itakuwa toka yetu kiuchumi
  6. Lord denning

    Inawezekana tuna watu wasio na uwezo katika nafasi wanazozitumikia?

    It's very simple nchi ina Katiba na Sheria. Ndo mana kuna Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Kipindi Rais anaumwa the first to be consulted alipaswa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali atoe muongozo. Hii nchi inaendeshwa sana kwa utashi wa watu na ndo mana yanakwenda hovyo
  7. Lord denning

    Inawezekana tuna watu wasio na uwezo katika nafasi wanazozitumikia?

    Nchi haiongozwi kwa matakwa ya mtu. Inaongozwa kwa mujibu wa Katiba na Sheria
  8. Lord denning

    Inawezekana tuna watu wasio na uwezo katika nafasi wanazozitumikia?

    Kama unataka kufia kwako si umwambie daktari? Kwa nini umwambie CDF? Yeye na masuala ya matibabu wapi na wapi?
  9. Lord denning

    Inawezekana tuna watu wasio na uwezo katika nafasi wanazozitumikia?

    Mahojiano aliyofanya CDF Mstaafu Venance Mabeyo yamenifundisha kitu. Nchi hii tuna shida kubwa sana ya watu kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi na uongozi ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi hizo kwa kukosa uwezo. Hivi inakuwaje kwenye nchi tena yenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru watu...
  10. Lord denning

    Umeme Tatizo limeisha bado Sukari na Dollar

    No wonder nchi hii kuja kuendelea kweli ni pale Mungu atafungua akili zetu na kutufanya tuwaze kwa usahihi. Umewahi kujiuliza tukipata ukame wa miezi 10 Je tutakuwa na umeme bado? Kwa akili zenu visoda ndo mana Wanasiasa wanawachezea tu! Suluhisho la mgawo wa Umeme ni kuwa na vyanzo vya...
  11. Lord denning

    Nakisi ya umeme nchini kwa sasa ni kati ya Megawati 300 - 400 hivyo ni dhahiri tatizo la mgao wa umeme linakwenda kumalizika

    Vipi ukitokea ukame ? Hatutakuwa na mgawo? Akili ya mtu mweusi ni Mungu tu anajua alivyoiumba!! Badala muweke nguvu kwenye vyanzo ambavyo hata nchi ikiwa na ukamwe mwaka mzima bado tutakuwa na umeme mnaendeleza ujinga ule ule.
  12. Lord denning

    Biteko afuta likizo zote za Watumishi wa TANESCO

    Ujinga tu. Badala wawe creative kutafuta permanent solutions wao kazi yao kutafuta cheap popularity tu. Sasa ukizuia likizo ndo umeondoa tatizo la umeme nchini?
  13. Lord denning

    Kama CHADEMA wana akili wangejikita kwenye Katiba

    Hakuna mwanasiasa atakayeonja nguvu alizonazo chini ya Katiba hii atataka kuibadilisha. Amini maneno yangu
  14. Lord denning

    Kama CHADEMA wana akili wangejikita kwenye Katiba

    Hoja kuu ya maandamano ni mapendekezo yao katika miswada ya Sheria iliyopelekwa Bungeni kutozingatiwa
  15. Lord denning

    Kama CHADEMA wana akili wangejikita kwenye Katiba

    Nchi yetu ina matatizo ya aina 2 1. Matatizo ya kimfumo ambayo haya chanzo kikuu ni Katiba 2. Matatizo ya kiasili ambayo haya msingi wake ni Ujinga na mada hii ni pana sana. Ili tuweze kupambana na matatizo ya kiasili ni muhimu na vizuri turekebishe matatizo yetu ya kimfumo ambayo msingi wake...
  16. Lord denning

    Nakiri kwamba naendelea kujifunza siasa za Tanzania

    Kikubwa zaidi Kambona alipinga Chama kuonekana kama a symbol of pride huku kikienezwa nchi nzima hadi vijijini badala ya Serikali kujikita katika kueneza huduma muhimi kama Barabara, Hospitali na Mashule. No wonder leo kuna maeneo mengi nchini watu wanaenda kwa viongozi wa chama kutatuliwa...
  17. Lord denning

    Nakiri kwamba naendelea kujifunza siasa za Tanzania

    Umeongea vizuri sana mkongwe. Ila umesahau jambo moja. Shida kwenye nchi yetu ilianza pale Nyerere alipokataa mawazo ya watu waliokuwa wanaona mbele kuliko yeye hasa Kambona. Kwa jinsi Nyerere alivyomfanyia Kambona ndo laana ya hii nchi ilipoanzia. Kama hatujatubu ile dhambi, maendeleo ya kweli...
Back
Top Bottom